Fenuchi
Senior Member
- May 5, 2019
- 116
- 38
Ivi majina ya waliochanguliwa yanatoka baada muda gan maana dah mtaani pagumu sanaWakuu nimeona kumekuwa na tatizo sana kwenye swala zima la kuomba(apply) ajira na kukamilisha usajili katika tovuti hii ya OTEAS (ajira.tamisemi.go.tz).Kuna aliyeweza fanikiwa kukamilisha usajili na maombi yake maana website haifunguki.View attachment 1166460