Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Siku zote ukiona mtu analia lia sana na kulalamika kwamba yeye anatendwa mara nyingi sana yeye ndo anayetenda.
Hivyo wanaongoza kulia kuhusu huu unaoitwa ukabila fake, nasema fake kwa sababu karibia makabila yote Tanzania ni fake kwa maana hayakuwepo kwa jinsi ambavyo yako leo hii kabla la ukoloni.
Wengi wa haya makabila fake ambao wanalalamikia ukabila wao ndio wannaongoza was ukabila hapa Tanzania.
Kuna maeneo Tanzania huwezi hamia kama wewe sio wa hapo na kununua Kihamba au kiwanja na kujenga lakini wao wamejaa kila mahali wakilia ukabila, ni projection, wanachokifanya wanasingizia wengine ili waonekane wanaonewa wakati sio kweli.
Hivyo wanaongoza kulia kuhusu huu unaoitwa ukabila fake, nasema fake kwa sababu karibia makabila yote Tanzania ni fake kwa maana hayakuwepo kwa jinsi ambavyo yako leo hii kabla la ukoloni.
Wengi wa haya makabila fake ambao wanalalamikia ukabila wao ndio wannaongoza was ukabila hapa Tanzania.
Kuna maeneo Tanzania huwezi hamia kama wewe sio wa hapo na kununua Kihamba au kiwanja na kujenga lakini wao wamejaa kila mahali wakilia ukabila, ni projection, wanachokifanya wanasingizia wengine ili waonekane wanaonewa wakati sio kweli.