Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,105
- 20,641
Mkuu hao watu uliowaaja unawajua vizuri au kwenye TV tu?Daah I support CCM Ila sio Kwa kutuletea mtu kama mchopanga , Niki wa pili na Basila Mwanukuzi,
Jamani inamaana huko mitaani hakuna watu competent??
No wonder why nchi yetu ni masikini mwaka wa sitini huu,
Maana hatuna viongozi wenye ubunifu wa kutatua changamoto zetu.
Inasikitisha mno.
Mbona kwa Sabaya na Bashite hamkuchonga kiasi hiki?