Wanaolalamika kusema deni la Taifa limekuwa hao wengien hawaoni kama wanadaiwa?

enery

JF-Expert Member
Aug 21, 2015
368
437
Nashindwa kuelewa wale wote wanaolalamika kuwa deni la taifa katika awamu hii ya tano limekuwa. Hatukatai kukua kwake ila miradi yote inayofanya kwa ukuwaji wa ilo deni tunaiona kwa macho watanzania wote. Hakuna nchi iliyoendelea bila kukopa, hao marekani na ukubwa wao wote bado mpaka kesho wanakopa kwa ajili ya kuendeleza miradi yao. Iweje sisi tujikosoe tena wenyewe kwa wenyewe wala sio hao walioko nje na ambao ndo wanatukopesha, kama unadaiwa na huna vigezo ya kukopeshwa inakuwaje ukopeshwe tena?

 
Hisia vs logic!

Hawatakuelewa kabisa.

Kwenye demokrasia sawa wanataka kulinganisha na nchi za nje. Ila kwenye mambo hayo hawataki katakata.
 
Ila watakaokuja kuteseka ni wajukuu zetu, kwanini hatuwaonei huruma watoto na wajukuu zetu kwa hili deni tunalotaka kuwarithisha?
 
Jamaa anatuchanga na rais mpendwa kasema tunajenga kwa pesa yetu ya ndani na lumumba nzima ndo wimbo wao huu atutaki hela ya beberu sasa deni lina ongezekaje si shida hii
 
Ila watakaokuja kuteseka ni wajukuu zetu, kwanini hatuwaonei huruma watoto na wajukuu zetu kwa hili deni tunalotaka kuwarithisha?
Sisi wenyewe tumerithi deni la taifa.
Kwa taarifa yako kabla haujazaliwa taifa lako lilikuwa na deni hata hao wajukuu unaowasema watakopa na kuzidi kuongeza deni la taifa hii ni endless duniani kote na kwa vizazi vyote.
 
Back
Top Bottom