ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,530
- 89,649
Nimekumiss sis darling, mwambie aache kukuficha hivi dah!Na huu ndo ukweli kwa % kubwa.
Heri ya mwaka mpya!!
Nimekumiss sis darling, mwambie aache kukuficha hivi dah!Na huu ndo ukweli kwa % kubwa.
Watafiti wameweka wazi kwamba wale Watu ( Wapenzi ) ambao huwa na Mahusiano kwa Miaka Mitatu na Kuendelea kabla ya Kufunga Ndoa wakija Kuishi pamoja Ndoa zao huwa na Mafanikio na hawaachani hadi Kifo kiwatenganishe.
Wewe umeonana na Demu jana tu ( January ) mwezi ujao ( February ) unachumbia na mwezi March unafunga Ndoa kwanini isivunjike au mkafumaniana au hata mkaishia Kuchinjana tu hadi kutoana na ' Makolomero ' yenu na Kumkosea Mwenyezi Mungu?
Chanzo Taarifa: Mtandao wa TibaFasta.
Nawasilisha.
Ndo kwamba hunioni siku hizi au? Heri ya mwaka pia brod darlingNimekumiss sis darling, mwambie aache kukuficha hivi dah!
Heri ya mwaka mpya!!
Naunga mkono hoja. Zaidi ya hapo ni mwsnamke kutumiwa na kuchakazwa kisha kutupwa kule.Naamini urafiki wa miezi sita-mwaka unatosha sana, then process za uchumba zianze.
Sikuoni kabisa sis darling, unafichwa mno!!!Ndo kwamba hunioni siku hizi au? Heri ya mwaka pia brod darling
Ukifichwa fichika tehSikuoni kabisa sis darling, unafichwa mno!!!
Teh haya, naona mchakato wa kumtafuta Jr huoUkifichwa fichika teh
Teh haya, naona mchakato wa kumtafuta Jr huo