Wanaokutwa na fumanizi la SHILAWADU 'wanajitakia' na wanalipia kipindi

kilambimkwidu

JF-Expert Member
Jul 21, 2017
6,050
7,051
Wakuu,

Nilikua na adabu mjini nikiwa maeneo yangu nikijua kwamba labda nitadakwa na kamera za Shilawadu lakini kumbe "hakuna shilawadu wanaofumania"

Ukiangalia jinsi wanavofanya vipundi vyao (mazingira na maandalizi ya mhojiwaji) shilawadu ni kama hua wanavizia 'mastaa' wakiwa kwenye pozi mbovu na kuanza kuwamulika na kamera za shilawadu. Lakini sasa imefahamika (pasi na chembe ya shaka) kwamba hawa wambea hua hawavizii kama wanavojinasibu, ispokua wanakutana na 'star' kabla na kupanga fumanizi liendaje kabla hawajamfumania.

Leo wamemwaga ubuyu wa msanii mfupi Sheta na Sheta anajifanya hataki kuhojiwa kwakua wamemshitukiza lakini ni hivo juzi tu Sudy alikua na Sheta pale MarkJuice Sinza na Sheta alikua akipiga domo anabembeleza "afumaniwe"
 
we unaonaje mkuu? wanalipa au wanajitakia?
Tukimpata Sheta atathibitisha hilo...atatuambia arrangement ilikuaje kwa upande wake. Ila ninachosema ni kwamba juzi nlmwona na Shilawadu wakiyajenga
 
Back
Top Bottom