kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,050
- 7,051
Wakuu,
Nilikua na adabu mjini nikiwa maeneo yangu nikijua kwamba labda nitadakwa na kamera za Shilawadu lakini kumbe "hakuna shilawadu wanaofumania"
Ukiangalia jinsi wanavofanya vipundi vyao (mazingira na maandalizi ya mhojiwaji) shilawadu ni kama hua wanavizia 'mastaa' wakiwa kwenye pozi mbovu na kuanza kuwamulika na kamera za shilawadu. Lakini sasa imefahamika (pasi na chembe ya shaka) kwamba hawa wambea hua hawavizii kama wanavojinasibu, ispokua wanakutana na 'star' kabla na kupanga fumanizi liendaje kabla hawajamfumania.
Leo wamemwaga ubuyu wa msanii mfupi Sheta na Sheta anajifanya hataki kuhojiwa kwakua wamemshitukiza lakini ni hivo juzi tu Sudy alikua na Sheta pale MarkJuice Sinza na Sheta alikua akipiga domo anabembeleza "afumaniwe"
Nilikua na adabu mjini nikiwa maeneo yangu nikijua kwamba labda nitadakwa na kamera za Shilawadu lakini kumbe "hakuna shilawadu wanaofumania"
Ukiangalia jinsi wanavofanya vipundi vyao (mazingira na maandalizi ya mhojiwaji) shilawadu ni kama hua wanavizia 'mastaa' wakiwa kwenye pozi mbovu na kuanza kuwamulika na kamera za shilawadu. Lakini sasa imefahamika (pasi na chembe ya shaka) kwamba hawa wambea hua hawavizii kama wanavojinasibu, ispokua wanakutana na 'star' kabla na kupanga fumanizi liendaje kabla hawajamfumania.
Leo wamemwaga ubuyu wa msanii mfupi Sheta na Sheta anajifanya hataki kuhojiwa kwakua wamemshitukiza lakini ni hivo juzi tu Sudy alikua na Sheta pale MarkJuice Sinza na Sheta alikua akipiga domo anabembeleza "afumaniwe"