Wanaokuja kwa kasi....Rutashubanyuma, Dena Amsi...wanatisha..

Dark City

JF-Expert Member
Oct 18, 2008
16,253
11,597
Hawa jamaa inaonekana wanakuja kwa kasi sana......naomba tuwapashie wafuatao, kama kuna watu sijaowaona msisite kunistua! They deserve a big clap!!!!

Rutashubanyuma
JF Senior Expert Member
Join Date: Fri Sep 2010
Posts: 2,800
Thanks: 1,211
Thanked 970 Times in 374 PostsRep Power
27

Mkuu Ruta ana wastani wa karibia posts 31 kwa siku.....Kweli anatisha!

Dena Amsi
JF Senior Expert Member

Join Date:Tue Aug 2010
Posts: 1,469

Thanks:5
Thanked 201 Times in 164 PostsRep Power 23

Dena ana wastani wa posts 12 kwa siku....si haba ila namwomba akumbuke kutumia kidude cha thanks (blue)!


DC
 
Hawa jamaa inaonekana wanakuja kwa kasi sana......naomba tuwapashie wafuatao, kama kuna watu sijaowaona msisite kunistua! They deserve a big clap!!!!



Mkuu Ruta ana wastani wa karibia posts 31 kwa siku.....Kweli anatisha!



Dena ana wastani wa posts 12 kwa siku....si haba ila namwomba akumbuke kutumia kidude cha thanks (blue)!


DC


Good analysis Rit. Maj. DC (1947) KAR
 
Retired Maj Gen DC (1947)

HABARI YAKO BANAA SIJAKUONA KWENYE GWARIDE LA UHURU AU HAUTAKI KUKUMBUSHIA ENZI ZAKO
 
Haiwezekani kamwe sitoi thanks kwako umenichana live halafu nikkupe thanks yanini

Najua unabana kidogo ila with time utaachia tu..umesahau kuwa unadeal na Babu DC...yuko ndani ya hii house toka 1947..si mchezo ati!
 
Haiwezekani kamwe sitoi thanks kwako umenichana live halafu nikkupe thanks yanini

For that useful post jamani kwani huoni...hata akikuchana live mpe thanks tu DA ndo 'utamaduni' wa hapa...lol
 
For that useful post jamani kwani huoni...hata akikuchana live mpe thanks tu DA ndo 'utamaduni' wa hapa...lol

Kesho. Na wewe acha ushabiki nilikupa hesima ukawa wa kwanza kupata thanks yangu halafu unaleta maneno tena? Chair vipi
 
Retired Maj Gen DC (1947)

HABARI YAKO BANAA SIJAKUONA KWENYE GWARIDE LA UHURU AU HAUTAKI KUKUMBUSHIA ENZI ZAKO

Hivi nani wanaoendaga kwenye haya maadhimisho? Kuna alawansi inatolewaga?
(hapa siulizii wale vikosi vya magwaride na viongozi wa chama na serikali)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom