The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Leo mshauri mkuu wa afya wa Serikali ya Marekani Dr. Antony Fauci amesema hawafikirii kwenda lockdown nyingine lakini Marekani ijiandae kwa mambo mabaya zaidi kwa sababu ya watu Milioni 100 ambao hawataki chanjo.
Fauci anasema itumike kila mbinu ya kuwashawishi, kuwaomba ili wabadili mawazo wachanjwe vinginevyo hili tatizo la covid 19 halitaisha.
Marekani hadi sasa imechanja watu milioni 150 kwa ukamilifu huku wengine milioni 40 hawajapata chanjo yote lakini kuna wengine zaidi ya milioni 100 hawataki kuchanjwa.
Fauci anasema itumike kila mbinu ya kuwashawishi, kuwaomba ili wabadili mawazo wachanjwe vinginevyo hili tatizo la covid 19 halitaisha.
Marekani hadi sasa imechanja watu milioni 150 kwa ukamilifu huku wengine milioni 40 hawajapata chanjo yote lakini kuna wengine zaidi ya milioni 100 hawataki kuchanjwa.