tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,114
Jana ilikuwa na kesi inayo wakabili watu wawili dr Slaa na mzee Mtikila na vyombo vya habari vilivyo ripoti kauli zao dhidi ya utajiri wa Ridhiwani .
swali kwa wana JF na wa TZ KWA ujumla, je wanaojua upolaji mali zetu na sehemu zilipo ni hao wawili tu? na kama mpo wengine mnonaje mgetutajia hapa jamvin tukajua ili tukazid kuwa sambamba na hawa wapambanaji wa mafisadi dhidi ya nchi yetu?
Taja mali hizo na sehemu zilipo. hii ni kwa wazalendo wote mafisadi piten 2.
swali kwa wana JF na wa TZ KWA ujumla, je wanaojua upolaji mali zetu na sehemu zilipo ni hao wawili tu? na kama mpo wengine mnonaje mgetutajia hapa jamvin tukajua ili tukazid kuwa sambamba na hawa wapambanaji wa mafisadi dhidi ya nchi yetu?
Taja mali hizo na sehemu zilipo. hii ni kwa wazalendo wote mafisadi piten 2.