Ndugu zangu nauliza kama matokeo ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya afya vya serikali mwaka huu 2019 kama yalishatoka. Kama yalishatoka nayapata wapi?
Kama ni vya nacte mkuu yalishatoka na watu wameshanda vyuoni mbonaNdugu zangu nauliza kama matokeo ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya afya vya serikali mwaka huu 2019 kama yalishatoka. Kama yalishatoka nayapata wapi?
Naona masomo yanaanza wiki ijayo jumanne, sasa vijana wanaanza kuripoti vyuoni.. Ni mwezi wa mabasi kupiga hela huuKama ni vya nacte mkuu yalishatoka na watu wameshanda vyuoni mbona