Wanaojitokeza kuchukua fomu kuomba uongozi CCM wapungua sana

WATANABE

JF-Expert Member
Apr 13, 2011
1,092
466
Jana nilihabarishwa na mjumbe mmoja wa shina katika Jiji hili kuwa katika mchakato unaoendelea wa wanaccm kujaza fomu kuomba uongozi wa mashina ni wanachama wachache sana wanaojitokeza, kiasi cha mikutano ya kuhoji wagombea kufikia hatua ya kuahirishwa mara kadhaa. Hii ni ishara ya dhahiri kuwa cc haikupoteza muto kwa wananchi tu bali hata kwa wananchama wake.
 
Ninaamini kila jambo lina wakati wake,Inangojewa ujasiri wa wananchi kufanya maamuzi ya kuichukia CCM kwa vitendo litakapokuja jambo kama hilo basi tutakuwa tumefika mwisho wa barabara yenye mabonde milima na misitu yenye wanyama wakali Mungu Bariki Tanzania uongozi kutoka CCM kwenda upinzani utokee bila umwagaji wa damu
 
mh, good news to other political parties and bad to CCM, begining of an end to CCM...Duu, kweli kila kitu kinawezekana, chezee nguvu ya umma.
 
Viongozi wa mashina hawana mashiko kwa sasa maana hakuna ulaji bali watu wanasubiri nafasi zenye ulaji
 
unajua ukiwa kiongozi halafu kuhama chama ni kazi wameona bora kuanza mapema
 
kuna majiji mengi nji hii,wapi huko? Ukiniambia mwanza,arusha,mbeya sishangai lakini ukiniambia dar au tanga furaha yangu itaongezeka zaidi,!
 
kuna majiji mengi nji hii,wapi huko? Ukiniambia mwanza,arusha,mbeya sishangai lakini ukiniambia dar au tanga furaha yangu itaongezeka zaidi,!

hata vijijini pia mimi nipo rural area sehemu moja inaitwa kwakoa - mwanga kinachoendelea ni viongozi ngazi ya wilaya wanahamasisha uchaguzi huo. Yaani cdm tukitaka tunaingiza maamluki wa kutosha kabisa kukimalizia hicho chama
 
Jana nilihabarishwa na mjumbe mmoja wa shina katika Jiji hili kuwa katika mchakato unaoendelea wa wanaccm kujaza fomu kuomba uongozi wa mashina ni wanachama wachache sana wanaojitokeza, kiasi cha mikutano ya kuhoji wagombea kufikia hatua ya kuahirishwa mara kadhaa. Hii ni ishara ya dhahiri kuwa cc haikupoteza muto kwa wananchi tu bali hata kwa wananchama wake.


Hiyo JF ya siku hizi umbea umbea umbea. Habari haina source. Kweli JF imepoteza mwelekeo
 
hata vijijini pia mimi nipo rural area sehemu moja inaitwa kwakoa - mwanga kinachoendelea ni viongozi ngazi ya wilaya wanahamasisha uchaguzi huo. Yaani cdm tukitaka tunaingiza maamluki wa kutosha kabisa kukimalizia hicho chama


Mimi na wenzangu 3 kwa wakati tofauti tumefuatwa na vizee vikitusihi tukachukuwe fomu inaonekana wote wamekataa,ila za CDM zinagombewa kama njugu, kwa kweli nashindwa kuelewa hatima ya chama changu ambacho kina watu wenye fikra sahihi cha ccm hatima ya hatamu yake ya baadaye, wuuuwi.
 
lakini nafasi za ubunge mbona wanapigania? tena wanahonga hela lukuki, nafasi hizo tatizo hazina pesa na wafuasi wa CCM wanaabudu pesa nothing else
 
Back
Top Bottom