THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Friends and Enemies,
Let us pray,dear our heavenly father we thank you for this precious gift of life,we thank you that we are very alive and still breathing. Amen..
Katika maisha epuka sana kujiona kuwa upo juu ya wanadam wenzako na kuwadharau hususan unapopata mamlaka juu yao,au ukwasi kuzid wao,kwani mwenye mamlaka katika huu mgongo wa ardhi ni Allah PEKEE, mwana wa Adam umekuja bila kitu chochote and soon utaondoka juu ya huu mgongo wa ardhi kama ulivyokuja,bila kitu chochote..
Look at stupid and dull person like pole pole, leo anakuja mbele ya umma wa watanzania wale wale ambao alikuwa anawabeza na kuwadharau kipind kile akiwa na MWENDAZAKE had kufikia hatua ya kuwatengenezea bunge la Chama kimoja kwa kuhujum Haki zetu kwenye ballot boxes Kihuni kbs, huku akiratibu kampen za chini kwa chini ya kwamba huyo jamaa yake apende asipende ataongezewa muda, kuna uhuni gani kushinda ule?
Incumbent politicians likes of tundu lisu wanapigwa risasi mchana kweupe katika viwanja vya bunge,nusura kifo, ni huyu huyu pole pole alikuwa anaratibu marufuk ya mbunge yyte wa CCM asidiriki hata kuinua saut ya kutoa japo pole kwa m bunge mwenzao aliepata shambulio la kikatili kama lile,eti leo anakuja kuhubir kuwa tukatae wahun, kuna wahuni zaidi ya wale ambao alikuwa anawalinda?
People like Bashite, Sabaya, Musiba na watu wasiojulikana ni wahun ambao by the time yeye yuko mwenezii wa MWENDAZAKE hakuthubut hata kuwagusa leo anapata wapi nguvu ya kusogea mbele ya Watanzania.
Ajifunze kwa mwenzake bashiru,
Wahuni waliokawa wanataka watake wasitake wameshakataliwa na mungu,na atambue kuwa tumejifunza kutokana na makosa yale,ni risk Sana kuongozwa na watu washamba na wenye fikra za kimaskin kama za regime hii iliyopita,
Akubali asikubali hivi vyama vina wenyewe,
Ccm ina wenyewe,chadema ina wenyewe,cuf ina wenyewe,
Huwez from nowhere eti umetoka kwenu huko kakonko uende Moshi umtoe mbowe uchukue uenyekiti wa chadema,are you crazy?are you running out of your mind?
Pole pole na gang iliyo nyuma yake,watambue zama Zina badilika,walipokawa madarakan walishatuonesha sura zao halisi,hawaaminik Tena,it's all over
Let us pray,dear our heavenly father we thank you for this precious gift of life,we thank you that we are very alive and still breathing. Amen..
Katika maisha epuka sana kujiona kuwa upo juu ya wanadam wenzako na kuwadharau hususan unapopata mamlaka juu yao,au ukwasi kuzid wao,kwani mwenye mamlaka katika huu mgongo wa ardhi ni Allah PEKEE, mwana wa Adam umekuja bila kitu chochote and soon utaondoka juu ya huu mgongo wa ardhi kama ulivyokuja,bila kitu chochote..
Look at stupid and dull person like pole pole, leo anakuja mbele ya umma wa watanzania wale wale ambao alikuwa anawabeza na kuwadharau kipind kile akiwa na MWENDAZAKE had kufikia hatua ya kuwatengenezea bunge la Chama kimoja kwa kuhujum Haki zetu kwenye ballot boxes Kihuni kbs, huku akiratibu kampen za chini kwa chini ya kwamba huyo jamaa yake apende asipende ataongezewa muda, kuna uhuni gani kushinda ule?
Incumbent politicians likes of tundu lisu wanapigwa risasi mchana kweupe katika viwanja vya bunge,nusura kifo, ni huyu huyu pole pole alikuwa anaratibu marufuk ya mbunge yyte wa CCM asidiriki hata kuinua saut ya kutoa japo pole kwa m bunge mwenzao aliepata shambulio la kikatili kama lile,eti leo anakuja kuhubir kuwa tukatae wahun, kuna wahuni zaidi ya wale ambao alikuwa anawalinda?
People like Bashite, Sabaya, Musiba na watu wasiojulikana ni wahun ambao by the time yeye yuko mwenezii wa MWENDAZAKE hakuthubut hata kuwagusa leo anapata wapi nguvu ya kusogea mbele ya Watanzania.
Ajifunze kwa mwenzake bashiru,
Wahuni waliokawa wanataka watake wasitake wameshakataliwa na mungu,na atambue kuwa tumejifunza kutokana na makosa yale,ni risk Sana kuongozwa na watu washamba na wenye fikra za kimaskin kama za regime hii iliyopita,
Akubali asikubali hivi vyama vina wenyewe,
Ccm ina wenyewe,chadema ina wenyewe,cuf ina wenyewe,
Huwez from nowhere eti umetoka kwenu huko kakonko uende Moshi umtoe mbowe uchukue uenyekiti wa chadema,are you crazy?are you running out of your mind?
Pole pole na gang iliyo nyuma yake,watambue zama Zina badilika,walipokawa madarakan walishatuonesha sura zao halisi,hawaaminik Tena,it's all over