kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,667
Tofauti ya maisha; Eti ni dhahiri kuwa kuna tofauti kubwa ya maisha kulingana na maeneo, eti na watu wanaoishi huwa na tabia kulingana na maeneo yao: mfano Mke anayeishi Masaki akimwagiza mumewe utasikia "Honey ukirudi husisahau kuniletea soseji, pizza au kuku' sawa dear" Je eti na sisi tunao kaa Manzese, Mbagala, Vingunguti, Tandale na kwingineko mabonde kwinama' Mke akiwa anamwagiza mumewe utasikia...?