Wanaoishambulia ACT-Wazalendo kujiunga SUK wajiulize kama CHADEMA hawajapokea ruzuku ya Novemba 2020

Bila kuathiri msimamo wangu wa kutoshabikia vyama vya siasa, naomba kukukumbusha kuwa Ruzuku wanayopokea vyama vya siasa sio hisani ya chama tawala, ni takwa la kisheria, lakini kubwa zaidi ruzuku ni kodi ya watanzania sio fedha inayotokana na michango ya chama tawala. PERIOD.
Sawa kabisaa hujakosea, sasa hebu tueleze hilo takwa la kisheria jinsi linavyotoa haki kwa chama fulani kupata ruzuku na vingine kukosa sheria imetoa vigezo gani hapo?
Mana CUF wanapata ruzuku wakati TLP hawapati Ruzuku hili limekaaji kisheria?
 
Unamambo ya kimama je, kwani uongo?!
Ukilala chadema ukiamka Mbowe.. Tafuta bwana uolewe utulie bi, dada.
Kwahiyo watu haturuhusiwi kujadili mambo ya CHADEMA mkuu?
Mbona ya vyama vingine tunajadili kila siku humu Ila sasa chadema na Mbowe wao ndio marufuku kujadiliwa humu au vipi mkuu?
 
Kuna jambo huko Lumumba hamlielewi, mnadhani pesa ya ruzuku ni ya kwenu, wacheni kujidanganya, ruzuku ni pesa za walipa kodi wanazokatwa na serikali; hiyo sio pesa ya serikali ya CCM, ni pesa ya wananchi hivyo Chadema wana haki ya kuichukua.
Kabisaaaa, pesa halali zinazotokana na idadi ya kura za wabunge na madiwani waloshiriki katika uchaguzi Mkuu halali kwa mujibu wa sheria. Ni haki ya msingi ya kikatiba ya Chama Cha siasa kilichotimiza vigezo kama chadema
 
Mbona unapanic mkuu, nimekuuliza haturuhusiwi kujadili mambo ya chadema na Mbowe humu?

Wingi wa ruzuku ya ccm ni takwa la kisheria Kama vile ilivyo kwa chadema wanavyopata ruzuku kwa matakwa ya kisheria na si kwa huruma ya chama tawala.
Swali je Kama chadema inapokea ruzuku kutokana na matakwa ya kisheria baada ya uchaguzi ambao wao wamesema hawautambui je uhalali wa kupokea pesa hizo za kidhalimu zenye harufu ya damu za watu na kila aina ya dhuluma Kama walivyo tuaminisha wanautoa wapi?
Naam tujadri sasa ya CCM.
Sheria hipi inayowapa CCM ruzuku pesa nyingi. Kule kutumia vyombo vya dolla kupiga risasi watu kwenye uchaguzi na kujijazia kura kwenye mabegi meusi na kulazimisha CCM iwe na Wabunge wengi ili ipate Ushindi? Ndio munaita ruzuku kisheria.. Mnajua nyinyi MaCCM akili zenu azina akili kabisa.
Muache kutupigia kelele humu.

CCM ni GENGE la MIJIZI ya kodi zetu.
 
Kuna jambo huko Lumumba hamlielewi, mnadhani pesa ya ruzuku ni ya kwenu, wacheni kujidanganya, ruzuku ni pesa za walipa kodi wanazokatwa na serikali; hiyo sio pesa ya serikali ya CCM, ni pesa ya wananchi hivyo Chadema wana haki ya kuichukua.
Kwa chama chenye Wabunge na Madiwani mkuu.
 
Badala ya kuleta ushahidi wa CHADEMA kupokea hiyo ruzuku, unataka sisi ndio tutafute ukweli ili hali wewe ndio umeleta hii habari!

Hata hivyo, hilo likitokea sitashangaa kwani niliwahi tabiri jambo kama hilo kufanywa.
mkuu mzigo tayari umeshaingia,kama unavyotoa ushauri,washauri viongozi warudishe pesa haramu hiyo
 
Naam tujadri sasa ya CCM.
Sheria hipi inayowapa CCM ruzuku pesa nyingi. Kule kutumia vyombo vya dolla kupiga risasi watu kwenye uchaguzi na kujijazia kura kwenye mabegi meusi na kulazimisha CCM iwe na Wabunge wengi ili ipate Ushindi? Ndio munaita ruzuku kisheria.. Mnajua nyinyi MaCCM akili zenu azina akili kabisa.
Muache kutupigia kelele humu.

CCM ni GENGE la MIJIZI ya kodi zetu.
Duuh mkuu naona unapuyanga na kuvamia kila hoja huku hoja za msingi ukizikimbia.
Okay, Kama ccm wametumia Dolla, Kura kwenye mabegi meusi, wizi wakutisha n.k ili kujijazia wabunge wengi ili wazoe ruzuku na CHADEMA nao wakatamka hadharani kuwa hawautambui uchaguzi huo na hawatambui matokeo yoyote hata ya yule mbunge wao na madiwani wao sasa uhalili wa wao kuipokea hiyo ruzuku ya kidhalimu namna hiyo wameupata wapi?

Na kwanini wapokee ruzuku ikiwa hawatambui matokeo yoyote ya huo uchaguzi?
 
Nimeshuhudia humu mitandaoni makamanda wakimshambulia sana Zitto Kabwe kufuatia chama chake kujiunga na SUK huko visiwani Zanzibar.

Kigezo ni kwamba Chadema na ACT wazalendo hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu na wao wanaita "uchafuzi"

Wanachosahau makamanda wa Chadema ni kuwahoji viongozi wao kama hawajapokea ruzuku ya mwezi November kutoka serikalini.

Ikumbukwe kuwa ruzuku ni zao la kura na idadi ya wabunge na madiwani ambao chama kimepata kwenye uchaguzi mkuu.

Natumai Matola na Salary slip mtauhoji uongozi kwa niaba yetu.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani ruzuku ni hisani ya magufuli au ipo kisheria na imetokana na Kodi za wananchi wenye itikadi tofauti acha uzwazwa
 
Duuh mkuu naona unapuyanga na kuvamia kila hoja huku hoja za msingi ukizikimbia.
Okay, Kama ccm wametumia Dolla, Kura kwenye mabegi meusi, wizi wakutisha n.k ili kujijazia wabunge wengi ili wazoe ruzuku na CHADEMA nao wakatamka hadharani kuwa hawautambui uchaguzi huo na hawatambui matokeo yoyote hata ya yule mbunge wao na madiwani wao sasa uhalili wa wao kuipokea hiyo ruzuku ya kidhalimu namna hiyo wameupata wapi?

Na kwanini wapokee ruzuku ikiwa hawatambui matokeo yoyote ya huo uchaguzi?
Ruzuku inatoka na Kodi za wananchi ambao wanachangia na Wana itikadi tofauti tofauti sio hisani au zawadi na ipo kikatiba
 
Ruzuku inatoka na Kodi za wananchi ambao wanachangia na Wana itikadi tofauti tofauti sio hisani au zawadi na ipo kikatiba
Okay, kwanini Chauma, TLP, NCCR n.k hawapati Ruzuku alafu ccm, Cuf , chadema n.k wanapata ruzuku?

Kama Ruzuku ni takwa la kikatiba tu lisilokuwa na vigezo vyovyote kwanini hao wapate na wengine wasipate Kuna vigezo gani vilivyo wapa hao na wengine kukosa?
 
Okay, kwanini Chauma, TLP, NCCR n.k hawapati Ruzuku alafu ccm, Cuf , chadema n.k wanapata ruzuku?

Kama Ruzuku ni takwa la kikatiba tu lisilokuwa na vigezo vyovyote kwanini hao wapate na wengine wasipate Kuna vigezo gani vilivyo wapa hao na wengine kukosa?
Inaonekana ni mchanga Sana kwenye kisiasa Kama hujui kwanin vyama vinapewa ruzuku na vingine havipewi pole sana

Iko hivi Chama chenye wawakikishi bungeni ndo vinapewa ruzuku, hivyo chauma, tlp au nccr havina muakilishi bungeni ndo maana havipewi
 
Inaonekana ni mchanga Sana kwenye kisiasa Kama hujui kwanin vyama vinapewa ruzuku na vingine havipewi pole sana

Iko hivi Chama chenye wawakikishi bungeni ndo vinapewa ruzuku, hivyo chauma, tlp au nccr havina muakilishi bungeni ndo maana havipewi
Swadaktaa, hiki ndicho nilichokuwa nataka unijibu hiki.
Okay sasa turudi kwenye mada hapo juu halafu tujibu hoja ya msingi. Chadema wamekataa kutambua matokeo yote na uchaguzi hata kwa Jimbo waliloshinda pamoja na hata viti vya udiwani walivyopata akiwa sambamba na kukataa kuteua wabunge wa viti maalum (mpaka sasa bado ni sintofahamu) huo ndio msimamo wa chadema hadi sasa kwamba uchaguzi huu ni haramu kwao na matokeo yote ni haramu kwao.
Swali ni je uhalali wa wao kuipokea ruzuku inayotokana na uchaguzi walio kataa kuutambua wameupata wapi? Kama msimamo wako ni kuto kutambua uchaguzi na matokeo yake ambayo ndio chanzo Cha hiyo ruzuku kwanini uipokee?
Kuipokea hiyo ruzuku sio dalili ya kukubaliana na hayo matokeo ya uchaguzi?
 
Nimeshuhudia humu mitandaoni makamanda wakimshambulia sana Zitto Kabwe kufuatia chama chake kujiunga na SUK huko visiwani Zanzibar.

Kigezo ni kwamba Chadema na ACT wazalendo hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu na wao wanaita "uchafuzi"

Wanachosahau makamanda wa Chadema ni kuwahoji viongozi wao kama hawajapokea ruzuku ya mwezi November kutoka serikalini.

Ikumbukwe kuwa ruzuku ni zao la kura na idadi ya wabunge na madiwani ambao chama kimepata kwenye uchaguzi mkuu.

Natumai Matola na Salary slip mtauhoji uongozi kwa niaba yetu.

Maendeleo hayana vyama!

Kuwahusisha makamanda wa CDM moja kwa moja na mashambulizi yoyote CDM isiyohusika nayo moja kwa moja ni kutojitendea haki wewe mwenyewe.

CDM ni taasisi kubwa mno kuliko unavyotaka kudhani.

CDM kama chama hakijatoa tamko lolote kuhusiana na jambo hili lisilowahusu au kuwa na maslahi nalo.

Ifahamike mawazo binafsi yenye mitizamo yote yametolewa na watu mbali mbali wa vyama mbali mbali katika capacity zao kama watu binafsi.

Mengine ni kama haya hapa:



Wachawi wakubwa nyie!
 
Back
Top Bottom