johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nimeshuhudia humu mitandaoni makamanda wakimshambulia sana Zitto Kabwe kufuatia chama chake kujiunga na SUK huko visiwani Zanzibar.
Kigezo ni kwamba CHADEMA na ACT-Wazalendo hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu na wao wanaita "uchafuzi"
Wanachosahau makamanda wa CHADEMA ni kuwahoji viongozi wao kama hawajapokea ruzuku ya mwezi November kutoka Serikalini.
Ikumbukwe kuwa ruzuku ni zao la kura na idadi ya wabunge na madiwani ambao chama kimepata kwenye uchaguzi mkuu.
Natumai Matola na Salary slip mtauhoji uongozi kwa niaba yetu.
Maendeleo hayana vyama!
Kigezo ni kwamba CHADEMA na ACT-Wazalendo hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu na wao wanaita "uchafuzi"
Wanachosahau makamanda wa CHADEMA ni kuwahoji viongozi wao kama hawajapokea ruzuku ya mwezi November kutoka Serikalini.
Ikumbukwe kuwa ruzuku ni zao la kura na idadi ya wabunge na madiwani ambao chama kimepata kwenye uchaguzi mkuu.
Natumai Matola na Salary slip mtauhoji uongozi kwa niaba yetu.
Maendeleo hayana vyama!