Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,444
- 6,985
Kajanja ni mbunge wa chama chako Msukuma
Mwakyembe amewaibua makanjanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakyembe amewaibua makanjanja
Kwanini nawewe usipige kimya, nini kilichokugusa hapo?Acheni hizo wadau, ukitajwa jina lako payuka lakini kama hujatajwa nadhani upige kimya. Waziri kasema vizuri mtu atashitakiwa pale atakapokwenda kinyume na utamaduni wa kitanzania lakini sio kwa kuikosoa serikali, ila unapokosoa pia kosoa kwa weledi sio kwa matusi halafu unasema umeikosoa serikali, unafikiria matusi nani atakusikiliza zaidi ya kukuweka ndani?
Badilikeni.
Mwakyembe amewaibua makanjanja
Mmekimbia serikali za mitaa sasa mnatafuta pa kuingilia. Haoooo
Kwanini wanaposifia serikali hawaambiwi wakajielimishe kwanza ndio waweze kusifia wanavyovijua? Hao wnaoimba mapambio ya kusifu wameelimika?
Unazijua kazi za mbunge? Sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu,je hao nao kama washauri wa serikali na wakosoaji pia ni lini huyo Waziri amewataka wakajielimishe?
Ukiwa mjinga usilazimishe kila mtu afanane na wewe!
Kwanini wanaposifia serikali hawaambiwi wakajielimishe kwanza ndio waweze kusifia wanavyovijua? Hao wnaoimba mapambio ya kusifu wameelimika?
Unazijua kazi za mbunge? Sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu,je hao nao kama washauri wa serikali na wakosoaji pia ni lini huyo Waziri amewataka wakajielimishe?
Ukiwa mjinga usilazimishe kila mtu afanane na wewe!
Makanjanja watapata tabu sanaaaNdicho ulichosomea degree?Au kuna kingine ongezea
Wewe jingaMnataka msifiwe tu na sio kukosolewa, mnafahamu kazi za wasaniii nyinyi? Au mnajua kuitwa tu babalao?
Wewe usiyejielewa ndio uwe na adabu kama una darasa la saba kafie mbali huko,siumekimbia umandeSisi darasa la saba ndio tunamlipa mshihara mwambie awe na adabu basi!!
Wewe ni boya kama huna akili huwezi kupata elimu lazima utaishia lanne kama weweHapa jamaa ameprove failure kwenye usomi wake.
Watu huwa wanachanganya kati ya elimu na akili, kuna watu wana akili kuliko hata wewe mwenye degree zako.
Huwezi kukurupuka tu ukaanza kuimba pambio lazima uwe na kitu elimu kichwani ili hata hayo mapambio uweze kuyapangilia vizuri
Watakimbia sanaaa tu hao hakuna wanachokijua kazi ni kuropoka tuMmekimbia serikali za mitaa sasa mnatafuta pa kuingilia. Haoooo
Kupitia comments zako zinaprove wewe ni mtu wa aina gani, kwahyo kushindana na wewe ni kupoteza muda. Ngoja nibakie na uboya wanguWewe ni boya kama huna akili huwezi kupata elimu lazima utaishia lanne kama wewe
Unaogopa nini tuendelee huku hakuna wamuuliza mtu kwanini umejibu hivi wewe endelea tu ucjaliKupitia comments zako zinaprove wewe ni mtu wa aina gani, kwahyo kushindana na wewe ni kupoteza muda. Ngoja nibakie na uboya wangu
Sijawahi kumwogopa mtu hata siku moja bali huwa naheshimu kila wazo la mtu. Siwezi kupoteza muda wangu kubishana na mtu ambaye habishani kwa hoja bali kazi yake ni kuropoka tu "wewe jinga!" "wewe ni boya!"........................Unaogopa nini tuendelee huku hakuna wamuuliza mtu kwanini umejibu hivi wewe endelea tu ucjali
Fakyuu akili za kuoza.Wewe usiyejielewa ndio uwe na adabu kama una darasa la saba kafie mbali huko,siumekimbia umande