Wanaohitaji bidhaa kutoka China kwa bei ya jumla.

prissy19

Member
Sep 28, 2014
73
75
Hello, Mimi naitwa Priscilla nipo China for studies
Pia ninafanya biashara ya kufungia mizigo wholesale buyers kupitia Instagram page @panda_sourcing @panda_sourcing
Bidhaa tofauti kwanzia nguo za watoto, nguo za watu wazima, underwears, shoes, handbags and accessories tofauti.
Machinery equipments
Stationery equipments
Furniture equipments za ofisini, salons, hotelini, nyumbani, n.k
Bidhaa bei inakuwa chini Mteja akichukua pieces nyingi au kuchukua bidhaa tofauti kwenye duka moja.
Mimi ninakupa bei ya jumla ya masokoni
Ninakufungia mzigo na kuupeleka warehouse for shipping.
You pay me a commission fee! Of which ni makubaliano yetu binafsi!
Anyone who is interested please contact me for more information kupitia
WhatsApp +8618857052304
Na pia pitia Instagram page yangu ninayotumia kupost bidhaa tofauti @panda_sourcing @panda_sourcing
 
Minimum order ni ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Inategemea na bidhaa unayohitaji
Underwear minimum order ni BELO ambalo linakuwa na 200 dozens (2400 pcs)


CHUPI ZA WATOTO WA KIKE 1-5yrs 200dozen (2400pcs) Tsh 1,800,000

CHUPI ZA ZA WATOTO 6-12yrs 200dozen Tsh 1,800,000

BOXER ZA WATOTO WA KIUME 2-12 yrs (200 dozens) Tsh 2,300,000


CHUPI ZA WADADA NA WAMAMA NI TSH 2,350,000 kwa 200dozens 100% cotton!

BOXERS ZA WAKAKA NI TSH 3,900,000 kwa 200 dozens!!!

Usafiri natumia MELI KAMPUNI YA HAWAII! Loose Cargo.
KUHUSU MALIPO:
unaulipia wote ukifika Dar au Zanzibar unaufuata warehouse zao kuuchukua!!!
Bei inajumuisha bidhaa, usafiri na CLEARENCE bandarini!
( Unaweza kulipia na USAFIRI moja kwa moja au ukalipia pesa ya usafiri mzigo ukifika warehouse.
COST ZA USAFIRI INAPIMWA KWA CBM 1CBM=380$
Chupi inarange kwenye 0.3-0.4CBM inategemea kama ni za wakubwa
 
Hello, Mimi naitwa Priscilla nipo China for studies
Pia ninafanya biashara ya kufungia mizigo wholesale buyers kupitia Instagram page @panda_sourcing @panda_sourcing
Bidhaa tofauti kwanzia nguo za watoto, nguo za watu wazima, underwears, shoes, handbags and accessories tofauti.
Machinery equipments
Stationery equipments
Furniture equipments za ofisini, salons, hotelini, nyumbani, n.k
Bidhaa bei inakuwa chini Mteja akichukua pieces nyingi au kuchukua bidhaa tofauti kwenye duka moja.
Mimi ninakupa bei ya jumla ya masokoni
Ninakufungia mzigo na kuupeleka warehouse for shipping.
You pay me a commission fee! Of which ni makubaliano yetu binafsi!
Anyone who is interested please contact me for more information kupitia
WhatsApp +8618857052304
Na pia pitia Instagram page yangu ninayotumia kupost bidhaa tofauti @panda_sourcing @panda_sourcing
Uko offline WhatsApp ukiwa online tuwasiliane

Jr
 
Hongera sana
Ila nimepiga hesabu hapo kwa chupi moja itakuja 750x12 =9000
Na kwa kariakoo zinauzwa kuanzia 5000 mpaka 8000 hivi,
Je hii tofauti ya bei inasababishwa na nini na zote zinatoka china?
Kuna namna ya kupata kwa price ya chini zaidi?
 
Inategemea na bidhaa unayohitaji
Underwear minimum order ni BELO ambalo linakuwa na 200 dozens (2400 pcs)


CHUPI ZA WATOTO WA KIKE 1-5yrs 200dozen (2400pcs) Tsh 1,800,000

CHUPI ZA ZA WATOTO 6-12yrs 200dozen Tsh 1,800,000

BOXER ZA WATOTO WA KIUME 2-12 yrs (200 dozens) Tsh 2,300,000


CHUPI ZA WADADA NA WAMAMA NI TSH 2,350,000 kwa 200dozens 100% cotton!

BOXERS ZA WAKAKA NI TSH 3,900,000 kwa 200 dozens!!!

Usafiri natumia MELI KAMPUNI YA HAWAII! Loose Cargo.
KUHUSU MALIPO:
unaulipia wote ukifika Dar au Zanzibar unaufuata warehouse zao kuuchukua!!!
Bei inajumuisha bidhaa, usafiri na CLEARENCE bandarini!
( Unaweza kulipia na USAFIRI moja kwa moja au ukalipia pesa ya usafiri mzigo ukifika warehouse.
COST ZA USAFIRI INAPIMWA KWA CBM 1CBM=380$
Chupi inarange kwenye 0.3-0.4CBM inategemea kama ni za wakubwa

Aisee nafanya hesabu kwa boxer za kiume naona wafanyabiashara wengi wanapata faida kwelikweli...
 
Inategemea na bidhaa unayohitaji
Underwear minimum order ni BELO ambalo linakuwa na 200 dozens (2400 pcs)


CHUPI ZA WATOTO WA KIKE 1-5yrs 200dozen (2400pcs) Tsh 1,800,000

CHUPI ZA ZA WATOTO 6-12yrs 200dozen Tsh 1,800,000

BOXER ZA WATOTO WA KIUME 2-12 yrs (200 dozens) Tsh 2,300,000


CHUPI ZA WADADA NA WAMAMA NI TSH 2,350,000 kwa 200dozens 100% cotton!

BOXERS ZA WAKAKA NI TSH 3,900,000 kwa 200 dozens!!!

Usafiri natumia MELI KAMPUNI YA HAWAII! Loose Cargo.
KUHUSU MALIPO:
unaulipia wote ukifika Dar au Zanzibar unaufuata warehouse zao kuuchukua!!!
Bei inajumuisha bidhaa, usafiri na CLEARENCE bandarini!
( Unaweza kulipia na USAFIRI moja kwa moja au ukalipia pesa ya usafiri mzigo ukifika warehouse.
COST ZA USAFIRI INAPIMWA KWA CBM 1CBM=380$
Chupi inarange kwenye 0.3-0.4CBM inategemea kama ni za wakubwa
Naomba kueleweshwa, hii kwamba mzigo unapimwa kwa CBM ni nini hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana
Ila nimepiga hesabu hapo kwa chupi moja itakuja 750x12 =9000
Na kwa kariakoo zinauzwa kuanzia 5000 mpaka 8000 hivi,
Je hii tofauti ya bei inasababishwa na nini na zote zinatoka china?
Kuna namna ya kupata kwa price ya chini zaidi?

Mimi nimeenda na gharama za boxer za kiume plus chupi na boxer za watoto hakika wafanyabiashara wengi wanapata faida ya kutosha...
 
Hongera sana
Ila nimepiga hesabu hapo kwa chupi moja itakuja 750x12 =9000
Na kwa kariakoo zinauzwa kuanzia 5000 mpaka 8000 hivi,
Je hii tofauti ya bei inasababishwa na nini na zote zinatoka china?
Kuna namna ya kupata kwa price ya chini zaidi?

Hizi chupi ni COTTON 100% inategemea na quality naona
 
Hongera sana
Ila nimepiga hesabu hapo kwa chupi moja itakuja 750x12 =9000
Na kwa kariakoo zinauzwa kuanzia 5000 mpaka 8000 hivi,
Je hii tofauti ya bei inasababishwa na nini na zote zinatoka china?
Kuna namna ya kupata kwa price ya chini zaidi?

Price kuwa kubwa inategemea na BELO Mteja anazochukua! Kwa Mteja anaechukua BELO moja na anaechukua 10 or more obviously bei Itakuwa tofauti!
Na source ya hizi bidhaa sio duka moja ni maduka tofauti, Mimi nimetafuta the underwears zenye the best quality with a relatively good price!!
Chupi ambazo kwa reja reja zinauzwa kwanzia 2000 za watoto na wakubwa 3000
 
Hello, Mimi naitwa Priscilla nipo China for studies
Pia ninafanya biashara ya kufungia mizigo wholesale buyers kupitia Instagram page @panda_sourcing @panda_sourcing
Bidhaa tofauti kwanzia nguo za watoto, nguo za watu wazima, underwears, shoes, handbags and accessories tofauti.
Machinery equipments
Stationery equipments
Furniture equipments za ofisini, salons, hotelini, nyumbani, n.k
Bidhaa bei inakuwa chini Mteja akichukua pieces nyingi au kuchukua bidhaa tofauti kwenye duka moja.
Mimi ninakupa bei ya jumla ya masokoni
Ninakufungia mzigo na kuupeleka warehouse for shipping.
You pay me a commission fee! Of which ni makubaliano yetu binafsi!
Anyone who is interested please contact me for more information kupitia
WhatsApp +8618857052304
Na pia pitia Instagram page yangu ninayotumia kupost bidhaa tofauti @panda_sourcing @panda_sourcing
Siyo equipments
 
Hello, Mimi naitwa Priscilla nipo China for studies
Pia ninafanya biashara ya kufungia mizigo wholesale buyers kupitia Instagram page @panda_sourcing @panda_sourcing
Bidhaa tofauti kwanzia nguo za watoto, nguo za watu wazima, underwears, shoes, handbags and accessories tofauti.
Machinery equipments
Stationery equipments
Furniture equipments za ofisini, salons, hotelini, nyumbani, n.k
Bidhaa bei inakuwa chini Mteja akichukua pieces nyingi au kuchukua bidhaa tofauti kwenye duka moja.
Mimi ninakupa bei ya jumla ya masokoni
Ninakufungia mzigo na kuupeleka warehouse for shipping.
You pay me a commission fee! Of which ni makubaliano yetu binafsi!
Anyone who is interested please contact me for more information kupitia
WhatsApp +8618857052304
Na pia pitia Instagram page yangu ninayotumia kupost bidhaa tofauti @panda_sourcing @panda_sourcing
Biashara nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello, Mimi naitwa Priscilla nipo China for studies
Pia ninafanya biashara ya kufungia mizigo wholesale buyers kupitia Instagram page @panda_sourcing @panda_sourcing
Bidhaa tofauti kwanzia nguo za watoto, nguo za watu wazima, underwears, shoes, handbags and accessories tofauti.
Machinery equipments
Stationery equipments
Furniture equipments za ofisini, salons, hotelini, nyumbani, n.k
Bidhaa bei inakuwa chini Mteja akichukua pieces nyingi au kuchukua bidhaa tofauti kwenye duka moja.
Mimi ninakupa bei ya jumla ya masokoni
Ninakufungia mzigo na kuupeleka warehouse for shipping.
You pay me a commission fee! Of which ni makubaliano yetu binafsi!
Anyone who is interested please contact me for more information kupitia
WhatsApp +8618857052304
Na pia pitia Instagram page yangu ninayotumia kupost bidhaa tofauti @panda_sourcing @panda_sourcing
simu vip udeal nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom