Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 318
- 513
Habari wakuu,
Mkoa wa Tanga, wilaya ya mkinga karibu kabisa na barabara kuu ya kwenda Mombasa Kenya kupitia horohoro boder kuna beach plots zinauzwa kwa bei rahisi tu. Viwanja hivi vinafaa kwa makazi, biashara ama huduma yoyote. Barabara inafika mpaka hapo.
Kwa anayehitaji anaweza kunipm kumuunganisha na wahusika, mimi sio muuzaji wala dalali, bali nimetoa taarifa huenda kuna watu wakawa wanahangaika kutafuta hivyo viwanja.
Mimi nimenunua, nimejenga na naishi mwaka wa tano sasa sio mbaya nikipata majirani.
Mchana mwema
Mkoa wa Tanga, wilaya ya mkinga karibu kabisa na barabara kuu ya kwenda Mombasa Kenya kupitia horohoro boder kuna beach plots zinauzwa kwa bei rahisi tu. Viwanja hivi vinafaa kwa makazi, biashara ama huduma yoyote. Barabara inafika mpaka hapo.
Kwa anayehitaji anaweza kunipm kumuunganisha na wahusika, mimi sio muuzaji wala dalali, bali nimetoa taarifa huenda kuna watu wakawa wanahangaika kutafuta hivyo viwanja.
Mimi nimenunua, nimejenga na naishi mwaka wa tano sasa sio mbaya nikipata majirani.
Mchana mwema