Wanaohamia CCM kutoka upinzani wanafanya hivyo kutafuta vyeo na masilahi mengine, wakiyakosa wataendelea kubaki?

Tatizo lenu hamuijuwi CCM, Magufuli ni mwenyekiti wa "vikao" vya chama na wala sio mwendeshaji wa kila siku wa chama. Tofauti na vyama vyenu wannabe ambapo mwenyekiti au kiongozi wa chma ndio katibu kuu, ndio mweka hazina, ndio mnadhimu mkuu na ndio mfadhili. Chama sio mali ya mtu mmoja, vyama vyote vya siasa Tanzania ni mali ya jamii.
Umelogwa! Hakuna anayefanya lolote independently of what Magufuli is mammering on his mouth! Wanaangalia midomo ya magufuli inacheza cheza vipi ndiyo wanafuatilizia humo!
 
Ukiachana na hii swala la mleta mada,

Wakati mwingine huwa najiuliza, hawa wanasiasa wetu hawawezi kuacha siasa wakafanya mambo mengine??

kwani Ukitoka CCM lazima uende Chadema au Chadema lazima uende CCM??

Kweli siasa tamu, huko kuna asali na maziwa.
 
Waulize Tundu Lisu MA God bless lema walikuwa NCCR, baadaye wakatimukia TLP na kutimka tena na kutua chadema. baada ya kufika chadema wao ndio wanajifanya wazalendo kuliko hata wenyeji. Mleta maada waweza kuwa mmoja wao. Baada ya kupata vyeo chadema basi wewe ndio wajiona mzalendo hasa!!!!
 
Waulize Tundu Lisu MA God bless lema walikuwa NCCR, baadaye wakatimukia TLP na kutimka tena na kutua chadema. baada ya kufika chadema wao ndio wanajifanya wazalendo kuliko hata wenyeji. Mleta maada waweza kuwa mmoja wao. Baada us kupata vyeo chadema basi wewe ndio wajiona mzalendo hasa!!!!
Namkumbuka sana lema akiwa TLP, Na majukwaa yake ya miti kwenye mikutano yake ya kisiasa, sasa amekuwa alwatan.

Alikua anapiga kelele balaa.
 
Wanaohamia CCM wamejitambua!, Chadema hakuna kitu!.

P
Umenikazimisha kukujibu. Mashinji kadhihirisha wazi kwa maandishi yake kwamba kilichomtoa chadema ni njaa na si vinginevyo. Hata wewe nadhani ni njaa inakusumbua. Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umelogwa! Hakuna anayefanya lolote independently of what Magufuli is mammering on his mouth! Wanaangalia midomo ya magufuli inacheza cheza vipi ndiyo wanafuatilizia humo!
Wewe ndio zimekuruka, Chadema inapuputikiwa na wale wote ambao hawana connection mlima mkuu. Wamekuwa marginalised kwa muda mrefu na sasa maji yamewafika shingoni. Kumbuka Professor Safari alisema nini.
 
CHADEMA mmekwisha nyinyi ni chama cha mtu binafsi msitegemee watu wenye akili timamu kuendelea kuwaunga mkono. Endeleeni na SACOS ya Mbowe
 
Wanaohamia CCM wamejitambua!, Chadema hakuna kitu!.

P
Ni maslahi binafsi na Dr. Mashinji amekuwa mkweli katika hili na ukweli huu umemuweka huru tofauti na ile misukule mingine iliyokaririshwa kuwa inaenda kuunga juhudi. Ukweli wenyewe ni huu.
tapatalk_1582037457335.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi heri ya pasaka.
Nisiwachoshe naomba KUJUA historian ya wabunge waliohama kutoka vyama vya UPINZANI na kwenda ccm KUUNGA mkono juhudi za Mh RAIS wetu iwapo:-
1.Walienda UPINZANI baada ya kukatwa majina yao.
2.Walikuwa UPINZANI hata kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza mwaka 2015
Baada ya michango yenu Watanzania tunatakiwa tuwafahamu ili 2020 wakigombea upande wowote tukae tukijua kuwa:-
1.Hawana msimamo
2.Ni wachumia matumbo
3.Ni wasaliti
Hivyo kwa mawazo YANGU wakigombea upande wowote hawatatufaa hata tukiwachagua Kuna siku watatudhihaki na kuondoka.
KARIBUNI KWA MJADALA MATUSI HAYARUHUSIWI.
Tukumbuke kunawa mikono kwa maji tiririka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpinzani kuhamia CCM mnasema kanunuliwa, Hana misimamo lakini CCM kuhamia upinzani mnaita demokrasia.

Sikiliza wote waliohamia CCM kutokea upinzani wanasema Nini? Ni malalamiko yale yale juu ya upinzani ambayo ni kutoridhishwa na yanayoendelea , ubabe katika kupendeza wagombea, taratibu kukiukwa n.k

Hayo ndio Mambo ambayo kweli Kama huyaamini lazima ujiunge na chama kinachoyakataa na kuweka utaratibu mzuri kwa wanachama wote. Wanaohamia CCM kutokea upinzani Wana hoja za msingi sana sio vyema wakabezwa.
 
KARLO MWILAPWA, Katika nchi nyingi za Afrika, kuwa upande wa upinzani unatakiwa kuwa na ujasiri mkubwa sana.

Wengi upande huko wamekutwa na Madhira mengi kiasi kwamba wengine huamua iwe kwa kurubuniwa au kwa vitisho kuhamia upande wenye mamlaka.

Hivyo mpinzani kuhamia Chama chenye Serikali inaweza isiwe habari Bali kinyume chake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda si mrefu mpinzani mashuhuri aliyepo ughaibuni kwa Sasa kwa matibabu naye ataunga mkono juhudi!! Tena kwa hiari yske!! Si ameona mazuri na kasi ya kuleta maendeleo ya serikali ya awamu ya tano chini ya Dr Magufuli!!
 
KARLO MWILAPWA,
Waliohamia CCM kutoka upinzani kimsingi usalama wa taifa wanatakiwa wawafungulie file la traitors ili wasipate nafasi yoyote nyeti mpaka kizazi Cha tatu ili wasije kulisaliti taifa maana mtoto wa nyoka ni nyoka.
 
Isije ikatokea watoto wa waliounga juhudi hata siku moja wakawa majenerali wa jeshi
 
Back
Top Bottom