first i should declare my interest" mimi sio member wa chadema" ila ninatamani changes katika nchi yangu. sasa kinachoendelea ndani ya cdm kinasikitisha na kinapelekea ku loose interest yao ya kupinga ufisadi. nimekuwa na bahati ya kuwa karibu na baadhi ya viongozi wa chadema na hawa wanaccm waliojiunga na tunaowatarajia kujiunga na cdm wanaweza kupoteza nguvu ya cdm.
viongozi wa cdm watanielewa namaanisha nini ninaposema hivi maana hakuna mchujo kwa watu wanaoingia ndani ya chama chenu and u are expecting them to serve the interest of cdm? here is where many of opposition wanapokosea kwasababu hii ina faida kuonesha mvuto wenu kwa jamii umeongezeka ila hawa watu watakiaribu chama chenu.
kaka ebu tumia akili, vipi kama simba au yanga wanaitaji wanachama wewe utawashauri wawapate kwa kutumia mchujo? Chama si mali ya mtu kila mmoja anaruhusiwa kuingia au kutoka, mambo ya kusema watakivunja nguvu ni matokeo tu, mbona ccm hapo zamani ilipokea wanachama wengi toka upinzani lakini hawakukivunja nguvu? Na kwanini ufikirie negative na si positive? Kuwa na imani kijana
yesu alifanya kazi ya kuwarudisha kundini kondoo waliopotea .... !!