Chomo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 236
- 616
Wakuu,
Kumekuwa na tetesi na minong'ono miingi siku za karibuni kuhusu utumiaji wa usafiri wa umma (daladala), abiria wapande level seat lakini nimesikia huko Dodoma agizo limeshatoka tayari.
Turudi nyuma kidogo,ambapo mwaka jana tukiwa katika hali kama hiyo, ikumbukwe shule zilikua zimefunga pamoja na huduma za kijamii nyingi hazikufanya kazi katikamuingiliano wa kawaida.
Inakuaje sasa tuwaze hayo ilhali tupo katika maisha ya kawaida ya ufanyaji kazi,ka uwingi huu wa watu ni kusababisha taharuki isiyokuwa na tija.
Hiyo mwaka jana kwanza soko la mafuta lilishuka mpk kuuzwa lita 1400, na ilikua ni kawaida sababu hakukua na watumiaji wengi wakia self isolated.
Leo hii dunia inarudi normal na kuanza kulegeza baadhi ya masharti ya covid 19 eti sie ndo tunakumbuka kurudisha,ikiwa bei ya mafuta imepanda mpk 2400 kwa lita.
Ni boss gani atakubali ashushe posho ya siku mpk elfu 50 kama ilivo mwaka jana na ikiwa mafuta ni bei juu?
Kumekuwa na baadhi ya waandishi wa habari wanachochea hili,nadhan sio watumiaji na hawajui adha ya usafir huu..
Nawakumbusha tu wajue shule zinapokua katika matumizi,hata uhitaji wa huduma ya usafiri huu huwa ni mkubwa zaidi,ivo waangalie upya wanalotaka kufanya
Kumekuwa na tetesi na minong'ono miingi siku za karibuni kuhusu utumiaji wa usafiri wa umma (daladala), abiria wapande level seat lakini nimesikia huko Dodoma agizo limeshatoka tayari.
Turudi nyuma kidogo,ambapo mwaka jana tukiwa katika hali kama hiyo, ikumbukwe shule zilikua zimefunga pamoja na huduma za kijamii nyingi hazikufanya kazi katikamuingiliano wa kawaida.
Inakuaje sasa tuwaze hayo ilhali tupo katika maisha ya kawaida ya ufanyaji kazi,ka uwingi huu wa watu ni kusababisha taharuki isiyokuwa na tija.
Hiyo mwaka jana kwanza soko la mafuta lilishuka mpk kuuzwa lita 1400, na ilikua ni kawaida sababu hakukua na watumiaji wengi wakia self isolated.
Leo hii dunia inarudi normal na kuanza kulegeza baadhi ya masharti ya covid 19 eti sie ndo tunakumbuka kurudisha,ikiwa bei ya mafuta imepanda mpk 2400 kwa lita.
Ni boss gani atakubali ashushe posho ya siku mpk elfu 50 kama ilivo mwaka jana na ikiwa mafuta ni bei juu?
Kumekuwa na baadhi ya waandishi wa habari wanachochea hili,nadhan sio watumiaji na hawajui adha ya usafir huu..
Nawakumbusha tu wajue shule zinapokua katika matumizi,hata uhitaji wa huduma ya usafiri huu huwa ni mkubwa zaidi,ivo waangalie upya wanalotaka kufanya