Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Akili imchoshwa na mambo ya siasa. Najaribu kufikiria uzuri wa noti utakavyokuwa kama zitawekwa sura za watu hawa. BI KIDUDE, ANNA MAKINDA, ANNA TIBAIJUKA na mwana wa mkulima MIZENGO, nahisi noti zitakuwa kivutio tosha. Mtazamo tu manake naona ushatoa jicho.