nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
1. Edward Lowassa
2. Dr. John Pombe Maghufuli
Akiteuliwa mmoja kati ya hawa, watanganyika tutafikiria kuwapa CCM urais, tofauti na hawa tutawapa chadema nchi.
Wote hawafai,anayefaa kuwa Rais ni Phillipo Nyalandu,Makamo wa Rais Shamsi Vuai Nahodha,Waziri Mkuu John Pombe Magufuli, Waziri wa Tamisemi Edward Ngoyai Lowasa,Mambo ya Nje Dr.Asha Rose Migiro na Afrika Mashariki Bernard Membe
Rais lazima awe kijana ambaye akili inachemka.