ba4
Member
- May 20, 2021
- 55
- 48
Napenda kuwasalimuni wote humu!! Mm mtanzania na familia yangu tumejipangusa mpaka tumefanikiwa kupata nchi India kupitia Maagenti Kwa kuna changamoto zimejitokeza toka mwaka Jana
1.Ni zaidi ya mwaka sasa napigwa kalenda yaani sielewii?
2.Nimeambiwa Niko Kwa benchmark no 3 Kwa hiyo chuoni nitaenda mwezi wa Tatu mwakani kuepushana msongomano for fear ya covid (Corona)
Please wenye uelewa kuhusu hili nisaidieni ,chuo ni galgotias university
1.Ni zaidi ya mwaka sasa napigwa kalenda yaani sielewii?
2.Nimeambiwa Niko Kwa benchmark no 3 Kwa hiyo chuoni nitaenda mwezi wa Tatu mwakani kuepushana msongomano for fear ya covid (Corona)
Please wenye uelewa kuhusu hili nisaidieni ,chuo ni galgotias university