nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Kumekuwepo na kila aina ya makala zinazoongelea maisha ya chama cha democrasia na maendeleo( CHADEMA) kuelekea kupoteza umaarufu wake. Sababu zinazoelezwa ni vurugu zinazotokea kwenye maandamano na kwenye mikutano ya hadhara kama kule Iringa, Morogoro na kule Arusha.
Ikumbwe kuwa kipindi NCCR-MAGEUZI iko juu hakukuwepo na mwamuko hasa kwa vijana kulingana na matukio ya ufisadi kwenye serikali. Kwa sasa hakuna cha kuinyamazisha Chadema kwa maana umaskini umezidi kuitesa jamii na jamii imeshachoka hivyo inataka mabadiliko.
Ikumbwe kuwa kipindi NCCR-MAGEUZI iko juu hakukuwepo na mwamuko hasa kwa vijana kulingana na matukio ya ufisadi kwenye serikali. Kwa sasa hakuna cha kuinyamazisha Chadema kwa maana umaskini umezidi kuitesa jamii na jamii imeshachoka hivyo inataka mabadiliko.