Daah! Kwa hiyo mkuu hatuna chetu happy maana yakeHii ramani ni ya leo leo kijana, ngoma hii si ya kusikilizia tu na kutoa jibu!
View attachment 1021473
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah! Kwa hiyo mkuu hatuna chetu happy maana yakeHii ramani ni ya leo leo kijana, ngoma hii si ya kusikilizia tu na kutoa jibu!
View attachment 1021473
Fact am typing from Blantyre City u ..jiji la biashara hiyo ndio hali halisi Malawi ...Democray it's unnegotiable ....comes 21 May Kuna uchaguzi Mutharika anajua atapigwa chini kwanza hakuna ung'ang'anizi ukipigwa chini ..unakua mpole kufunga virango kutoka Sanjika palace au magogoni kweni huko.. sikatai Malawi economically is poor but rich in democracy.KUTOKA KWA MALISA GJ
Nimetafsiri kutoka kwa dada Maria Mhandire wa Lilongwe.
____________
Wanaodhani Afrika nzima haina demokrasia waje wajifunze Malawi. Nadhani sisi ndio nchi ya kwanza kwa demokrasia Afrika na tuna mengi ambayo hata wazungu walioanzisha demokrasia wanaweza kujifunza. Kwa wale wasio wakazi wa Malawi ngoja niwaeleze hali ilivyo hapa;
Mwaka huu tutafanya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kwa awamu ya pili kupitia chama tawala cha DPP.
Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM.
Yani Rais na Makamu wake wanagombea kupitia vyama viwili tofauti, na kampeni zinaendelea, kila mmoja akinadi sera zake.
Wakikutana kwenye matukio ya kitaifa wanakaa pamoja kama Rais na Makamu wake. Baada ya hapo wanakutana majukwaani wakipingana kwa hoja.
Mutharika na Chilima walikua chama kimoja cha DPP. Lakini mwaka jana wakatofautiana. Chilima akajiondoa na kujiunga na chama cha upinzani cha UTM.
Hakupoteza nafasi yake ya Umakamu wa Rais, maana Katiba ya Malawi inaruhusu kiongozi kuhama chama bila kupoteza nafasi yake ya uongozi.
Mgombea mwingine ni Atupele Muluzi, Waziri wa ardhi ambaye anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF.
Rais Mutharika hajamfukuza kazi. Kamuacha aendelee na kampeni za Urais akiwa bado Waziri wa ardhi.
Demokrasi ya hali ya juu.
Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP.
Licha ya tuhuma za ufisadi zinazomkabili, lakini Rais Mutharika ameruhusu agombee akisema wananchi ndio watakaoamua.
Mgombea mwingine ni Lazarus Chakwera wa MCP. Hiki ndio chama cha ukombozi cha Malawi. Ndio chama cha Rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda.
Kampeni zinaendelea.
Hakuna vurugu, kakuna fujo, hakuna polisi wanaopiga raia. Hakuna drama za kijinga za polisi kuvuruga mikutano ya wapinzani kwa taarifa feki za kiintelijensia.
Wanaotaka kuandamana wanaandamana, Wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya. Wanaotaka vikao vya ndani ewala. Ili mradi kila mmoja anatumia njia yake kushawishi achaguliwe.
Raia wa Malawi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida, tukila Nsima (ugali) na kusikiliza sera za kila mgombea. Ni mataifa machache sana duniani yanaweza kuwa na kiwango hiki cha demokrasia. Tunajivunia nchi yetu.!
Fact am typing from Blantyre City u ..jiji la biashara hiyo ndio hali halisi Malawi ...Democray it's unnegotiable ....comes 21 May Kuna uchaguzi Mutharika anajua atapigwa chini kwanza hakuna ung'ang'anizi ukipigwa chini ..unakua mpole kufunga virango kutoka Sanjika palace au magogoni kweni huko.. sikatai Malawi economically is poor but rich in democracy.Point of correction Atupele Muluzi nimtoto wa raisi wa zamani Bakili Muluzi ambaye jina lake linatumika huko Dar Bakili Muluzi Secondary school.. He is minister of Health sio Lands(Aridhi) ..alichaguliwa kutoka upinzani kua waziri...lakini kwasasa nayeye atajaribu kalata yake yakwenda ikuluKUTOKA KWA MALISA GJ
Nimetafsiri kutoka kwa dada Maria Mhandire wa Lilongwe.
____________
Wanaodhani Afrika nzima haina demokrasia waje wajifunze Malawi. Nadhani sisi ndio nchi ya kwanza kwa demokrasia Afrika na tuna mengi ambayo hata wazungu walioanzisha demokrasia wanaweza kujifunza. Kwa wale wasio wakazi wa Malawi ngoja niwaeleze hali ilivyo hapa;
Mwaka huu tutafanya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kwa awamu ya pili kupitia chama tawala cha DPP.
Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM.
Yani Rais na Makamu wake wanagombea kupitia vyama viwili tofauti, na kampeni zinaendelea, kila mmoja akinadi sera zake.
Wakikutana kwenye matukio ya kitaifa wanakaa pamoja kama Rais na Makamu wake. Baada ya hapo wanakutana majukwaani wakipingana kwa hoja.
Mutharika na Chilima walikua chama kimoja cha DPP. Lakini mwaka jana wakatofautiana. Chilima akajiondoa na kujiunga na chama cha upinzani cha UTM.
Hakupoteza nafasi yake ya Umakamu wa Rais, maana Katiba ya Malawi inaruhusu kiongozi kuhama chama bila kupoteza nafasi yake ya uongozi.
Mgombea mwingine ni Atupele Muluzi, Waziri wa ardhi ambaye anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF.
Rais Mutharika hajamfukuza kazi. Kamuacha aendelee na kampeni za Urais akiwa bado Waziri wa ardhi.
Demokrasi ya hali ya juu.
Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP.
Licha ya tuhuma za ufisadi zinazomkabili, lakini Rais Mutharika ameruhusu agombee akisema wananchi ndio watakaoamua.
Mgombea mwingine ni Lazarus Chakwera wa MCP. Hiki ndio chama cha ukombozi cha Malawi. Ndio chama cha Rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda.
Kampeni zinaendelea.
Hakuna vurugu, kakuna fujo, hakuna polisi wanaopiga raia. Hakuna drama za kijinga za polisi kuvuruga mikutano ya wapinzani kwa taarifa feki za kiintelijensia.
Wanaotaka kuandamana wanaandamana, Wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya. Wanaotaka vikao vya ndani ewala. Ili mradi kila mmoja anatumia njia yake kushawishi achaguliwe.
Raia wa Malawi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida, tukila Nsima (ugali) na kusikiliza sera za kila mgombea. Ni mataifa machache sana duniani yanaweza kuwa na kiwango hiki cha demokrasia. Tunajivunia nchi yetu.!
Huku kwetu siku uchaguzi speaker anamcharaza viboko mdogo wake, chama kimoja, jimbo moja, taifa moja.Hongera nyingi ziwafikie. Kwa aina hiyo ya demokrasia, hakika ni mfano wa kuigwa. Huku kwetu wakati wa kampeni, watu kugombania fito, ni jambo la kawaida.
Baada ya muda mfupi sana wanatuacha kiuchumi .Nimeipenda Malawi.
Lakini,mbona weye ni mnyaluhala!Mnataka demokrasia wakati chama chenu hakina demokrasia. Hamieni malawi kaka vipi.
[QgUOTE="Mpinzire, post: 30404469, member: 120266"]Kama tungekuwa na demokrasia ya kweli ndani ya vyama vyetu leo hii toka 2005 tungekuwa na mwenyeviti 3 wamepita chama chetu cha Demokrasia yaani Mbowe, Chacha na Zitto ila kilichotokea Allah mwenyewe anajua
jiwe lilitokea sijui burundi au rwanda linatuletea matatizo nchini kwetu
KUTOKA KWA MALISA GJ
Nimetafsiri kutoka kwa dada Maria Mhandire wa Lilongwe.
____________
Wanaodhani Afrika nzima haina demokrasia waje wajifunze Malawi. Nadhani sisi ndio nchi ya kwanza kwa demokrasia Afrika na tuna mengi ambayo hata wazungu walioanzisha demokrasia wanaweza kujifunza. Kwa wale wasio wakazi wa Malawi ngoja niwaeleze hali ilivyo hapa;
Mwaka huu tutafanya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kwa awamu ya pili kupitia chama tawala cha DPP.
Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM.
Yani Rais na Makamu wake wanagombea kupitia vyama viwili tofauti, na kampeni zinaendelea, kila mmoja akinadi sera zake.
Wakikutana kwenye matukio ya kitaifa wanakaa pamoja kama Rais na Makamu wake. Baada ya hapo wanakutana majukwaani wakipingana kwa hoja.
Mutharika na Chilima walikua chama kimoja cha DPP. Lakini mwaka jana wakatofautiana. Chilima akajiondoa na kujiunga na chama cha upinzani cha UTM.
Hakupoteza nafasi yake ya Umakamu wa Rais, maana Katiba ya Malawi inaruhusu kiongozi kuhama chama bila kupoteza nafasi yake ya uongozi.
Mgombea mwingine ni Atupele Muluzi, Waziri wa ardhi ambaye anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF.
Rais Mutharika hajamfukuza kazi. Kamuacha aendelee na kampeni za Urais akiwa bado Waziri wa ardhi.
Demokrasi ya hali ya juu.
Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP.
Licha ya tuhuma za ufisadi zinazomkabili, lakini Rais Mutharika ameruhusu agombee akisema wananchi ndio watakaoamua.
Mgombea mwingine ni Lazarus Chakwera wa MCP. Hiki ndio chama cha ukombozi cha Malawi. Ndio chama cha Rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda.
Kampeni zinaendelea.
Hakuna vurugu, kakuna fujo, hakuna polisi wanaopiga raia. Hakuna drama za kijinga za polisi kuvuruga mikutano ya wapinzani kwa taarifa feki za kiintelijensia.
Wanaotaka kuandamana wanaandamana, Wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya. Wanaotaka vikao vya ndani ewala. Ili mradi kila mmoja anatumia njia yake kushawishi achaguliwe.
Raia wa Malawi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida, tukila Nsima (ugali) na kusikiliza sera za kila mgombea. Ni mataifa machache sana duniani yanaweza kuwa na kiwango hiki cha demokrasia. Tunajivunia nchi yetu.!
Uliisha baada ya Joyce Banda kujikuta sio raisi wa Malawi
Pia waliona mkwere kawapania kweli ikabidi wavunge tu
Ila mara madai ya kuwa ziwa lote ni lao huwa yanakuja kipindi cha uchaguzi kama hichi lkn nadhan wameamua kuwa wapole tu maana awamu hii diplomasia ni ZIRO
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Kama tungekuwa na demokrasia ya kweli ndani ya vyama vyetu leo hii toka 2005 tungekuwa na mwenyeviti 3 wamepita chama chetu cha Demokrasia yaani Mbowe, Chacha na Zitto ila kilichotokea Allah mwenyewe anajua
Mnataka demokrasia wakati chama chenu hakina demokrasia. Hamieni malawi kaka vipi.
Hatuwezi kuiga ya Malawi kwa sababu nchi yetu haiwezi kuwa malawi. Hata nchi za ulaya waanzilishi wa demokrasia nazo zimetofautiana. Historia ya TAIFA lolote ndiye muumbaji wa utamaduni wa TAIFA hilo.
Kumbukumbu zote za kihistoria sinaonesha Ziwa Malawi, lote ni la Malawi.Hii ramani ni ya leo leo kijana, ngoma hii si ya kusikilizia tu na kutoa jibu!
View attachment 1021473
Demokrasia yote iliyopambwa kwenye hilo andiko imekosa maana baada ya kuona maneno haya, "rais Mutharika ameruhusu".
Kwamba hayo ni matakwa yake, na akijisikia anaamua kutokuruhusu.
Nilitamani kuona zaidi neno katiba badala ya rais.
- KANA -
Bado hujafungua Mind yako! Unafikiri watu wanapolia hakuna Demokrasia ya kweli ndani ya vyama vyao huwa wanakosea? Unachokifanya kwenye Chama chako kina uwezo wa kuhakisi kwa 100% kile utakachokifanya ukishika madaraka!Nchi ndio inatakiwa kuendeshwa kidemokrasia mkuu. Vyama vinaendeshwa kwa' corporate management' kwa hiyo kama CEO ana 'deliver' anabakia huyo mpaka atakaposhindwa.