yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Unaposema Serikali haijafanya kitu unamanisha bado tuko kwenye enzi za ujima au?
Kwamba bado tuko kwenye CHUO KIKUU KIMOJA ?Unamanisha bado tuko kwenye barabara za 1961?
Unasema tunatumia zile Tv za Rangi moja?
Kutoka mkoa mmoja hadi mwingine bado tunatumia siku 7 kufika?
Unamanisha hata wewe mtindo wako wa MAISHA ni uleule mfano mavazi unavaa ya 1961?
Nyumba na magari tuliyonayo ni yale yale ya mwaka 1961?
Teknolojia kiujumla mfano ya simu ni ile ile bado iko kwa wafanyakazi wa serikali na watu wenye kipato cha sukari?
Na kampuni ni moja tu TTCL?
Unasema serikali haijafanya kitu,Kwamba huduma za maji na umeme nyumba ni zile zile za wachache 1961?
Unasema bado tuko mil 12 ya mwaka 1970?
Na sio Mil 50 na ya sasa?
Kituo cha radio ni Rtd pekee na kusikiliza habari mpaka twende kwa mwenyekiti au balozi au jirani mwenye nayo?
Unamanisha hatuna kituo cha tv hata kimoja maana miaka 50 serikali haifanya kitu?
Jaribu kurudi mika 50 nyuma njoo taaratibu mpaka hapa tulipo je tuko vilevile?
Maana ninavyojuwa mpaka hapa tulipo mabadiliko makubwa ktk sekta mbalimbali yamefanyika,
Kubwa kabisa hili la kisiasa,katka jambo kubwa ambalo serikali ya CCM imefanya na la kupigiwa makofi na kila mtu na Ambalo watu wengi HAWAJUI ni kukubali mfumo huu wa vyama vingi,
Tena CCM na serikali ili lazimisha maana kura ya hapana zilizidi za ndiyo namaanisha asilimia 80 walikataa na 20 kukubali,Kwa nini tukubali asilimia 20 wakati uwezo wa kukataa ulikuwepo na wa kimsingi kabisa,
Kwa hiyo wote mnaopiga kelele na kubeza serikali ya CCM haijfanya kitu ni VYEMA Mkaa na kupitia vyema historia ya nchi hii ili mjuwe tulipo na tumetoka wapi.
Baaadhi yenu ni ubishi tu wa kimmemko unajuwa kabisa hatua kubwa zilizofanywa na serikali kuleta maendeleo na kuleta mabadiliko makubwa kiutendaji na kiuwajibika serikalini,ili kuleta tija zaidi..
Kuona mnaona kinachofanyika Halafu mnasema serikali ya CCM Haijafanya kitu,
Tangu uhuru juhudi mbalimbali zimefanyika mpaka kwenye mageuzi ya kisiasa,maana uwezo wa kufata zile asilimia 80 ulikuwepo lakini wakaona wachukuwe na kukubali asilimia 20 ni jambo kubwa.
Sasa ukiacha hilo kubwa yako makubwa mengi ambayo mpaka sasa serikali ya CCM imefanya na wala huwezi kukwepa kuyasema,
utakwepa tu ukiwa na miwani ya mbao na pia uwe unatoka ktk chama ambacho mawazo yake ni kupinga tu kila kitu.
Nyanja zote na katka sekta mbali mbali serikali imejitahidi sana kuleta maendeleo na tumepiga hatua,
Kama ni swala la umasikini watu kuomba omba watu kulia lia maisha magumu ni la dunia kila nchi utakuta watu wanasema maisha ni magumu,
Wajibu wa serikali ni kutuwekea miudo mbinu mizuri huduma mbalimbali muhimu kiwajibu kijamii,na sisi kusaidia ktk maedeleo,
Huduma za kijamii zinazidi kuboreshwa miundo mbinu nk,
Ushirika wetu na serikali ni kusaidia kufanya kazi halali na kwa bidii Familia zetu maisha yaboreke na serikali ipate kodi pesa irudi kuleta maedeleo.
Serikali haitakuja kukutafutia chakula na kukuletea nyumbani kwako huku umekaa tu,
Unaposema hakuna kilichofanyika ni wajibu wako sasa kutueleza tulipo na tulipotoka kimaisha kimaendeleo kila nyanja yakoje maaa wengine ni viongozi wa vyama wana makampuni makubwa maisha yao ni ya kusaza lakni wamekuwa mstari wambele kubeza ni vyema wakatuambia sasa tulipo na na 1961 Si Kupayuka tu serikali ya CCM et haijafanya kitu kwa muhemko wao wa kisiasa.
Serikali ya awamu ya tao imejitahidi saa kupambana kuleta maendeleo kwa Watanzania wote tunaona juhudi za mh Rais anazofanya ni za kizalendo sana,
Wale mnaobeza inawezakana nia yenu si njema sana kwa nchi yetu,Rais anapigana sana kutetea masilahi ya wanyonge,
Tumuunge mkono Rais ni kweli maendeleo hayana chama mambo ya siasa kwenye masilahi ya nchi tuweke pembeni na tujenge Nchi yetu pendwa Tanzania.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Baraka Masaba
Kwamba bado tuko kwenye CHUO KIKUU KIMOJA ?Unamanisha bado tuko kwenye barabara za 1961?
Unasema tunatumia zile Tv za Rangi moja?
Kutoka mkoa mmoja hadi mwingine bado tunatumia siku 7 kufika?
Unamanisha hata wewe mtindo wako wa MAISHA ni uleule mfano mavazi unavaa ya 1961?
Nyumba na magari tuliyonayo ni yale yale ya mwaka 1961?
Teknolojia kiujumla mfano ya simu ni ile ile bado iko kwa wafanyakazi wa serikali na watu wenye kipato cha sukari?
Na kampuni ni moja tu TTCL?
Unasema serikali haijafanya kitu,Kwamba huduma za maji na umeme nyumba ni zile zile za wachache 1961?
Unasema bado tuko mil 12 ya mwaka 1970?
Na sio Mil 50 na ya sasa?
Kituo cha radio ni Rtd pekee na kusikiliza habari mpaka twende kwa mwenyekiti au balozi au jirani mwenye nayo?
Unamanisha hatuna kituo cha tv hata kimoja maana miaka 50 serikali haifanya kitu?
Jaribu kurudi mika 50 nyuma njoo taaratibu mpaka hapa tulipo je tuko vilevile?
Maana ninavyojuwa mpaka hapa tulipo mabadiliko makubwa ktk sekta mbalimbali yamefanyika,
Kubwa kabisa hili la kisiasa,katka jambo kubwa ambalo serikali ya CCM imefanya na la kupigiwa makofi na kila mtu na Ambalo watu wengi HAWAJUI ni kukubali mfumo huu wa vyama vingi,
Tena CCM na serikali ili lazimisha maana kura ya hapana zilizidi za ndiyo namaanisha asilimia 80 walikataa na 20 kukubali,Kwa nini tukubali asilimia 20 wakati uwezo wa kukataa ulikuwepo na wa kimsingi kabisa,
Kwa hiyo wote mnaopiga kelele na kubeza serikali ya CCM haijfanya kitu ni VYEMA Mkaa na kupitia vyema historia ya nchi hii ili mjuwe tulipo na tumetoka wapi.
Baaadhi yenu ni ubishi tu wa kimmemko unajuwa kabisa hatua kubwa zilizofanywa na serikali kuleta maendeleo na kuleta mabadiliko makubwa kiutendaji na kiuwajibika serikalini,ili kuleta tija zaidi..
Kuona mnaona kinachofanyika Halafu mnasema serikali ya CCM Haijafanya kitu,
Tangu uhuru juhudi mbalimbali zimefanyika mpaka kwenye mageuzi ya kisiasa,maana uwezo wa kufata zile asilimia 80 ulikuwepo lakini wakaona wachukuwe na kukubali asilimia 20 ni jambo kubwa.
Sasa ukiacha hilo kubwa yako makubwa mengi ambayo mpaka sasa serikali ya CCM imefanya na wala huwezi kukwepa kuyasema,
utakwepa tu ukiwa na miwani ya mbao na pia uwe unatoka ktk chama ambacho mawazo yake ni kupinga tu kila kitu.
Nyanja zote na katka sekta mbali mbali serikali imejitahidi sana kuleta maendeleo na tumepiga hatua,
Kama ni swala la umasikini watu kuomba omba watu kulia lia maisha magumu ni la dunia kila nchi utakuta watu wanasema maisha ni magumu,
Wajibu wa serikali ni kutuwekea miudo mbinu mizuri huduma mbalimbali muhimu kiwajibu kijamii,na sisi kusaidia ktk maedeleo,
Huduma za kijamii zinazidi kuboreshwa miundo mbinu nk,
Ushirika wetu na serikali ni kusaidia kufanya kazi halali na kwa bidii Familia zetu maisha yaboreke na serikali ipate kodi pesa irudi kuleta maedeleo.
Serikali haitakuja kukutafutia chakula na kukuletea nyumbani kwako huku umekaa tu,
Unaposema hakuna kilichofanyika ni wajibu wako sasa kutueleza tulipo na tulipotoka kimaisha kimaendeleo kila nyanja yakoje maaa wengine ni viongozi wa vyama wana makampuni makubwa maisha yao ni ya kusaza lakni wamekuwa mstari wambele kubeza ni vyema wakatuambia sasa tulipo na na 1961 Si Kupayuka tu serikali ya CCM et haijafanya kitu kwa muhemko wao wa kisiasa.
Serikali ya awamu ya tao imejitahidi saa kupambana kuleta maendeleo kwa Watanzania wote tunaona juhudi za mh Rais anazofanya ni za kizalendo sana,
Wale mnaobeza inawezakana nia yenu si njema sana kwa nchi yetu,Rais anapigana sana kutetea masilahi ya wanyonge,
Tumuunge mkono Rais ni kweli maendeleo hayana chama mambo ya siasa kwenye masilahi ya nchi tuweke pembeni na tujenge Nchi yetu pendwa Tanzania.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Baraka Masaba