nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Tuesday, December 17, 2013
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema akichangia mjadala bungeni wa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama Mjini Dodoma jana. Picha na Emmanuel Herman
Najua siku hizi zipo DvD za kutengeneza, kuna utaalamu wa kuzibaini kwa hiyo sina shaka yoyote, alisema Ole Medeye.
Medeye ambaye pia ni Mbunge wa Arumeru Magharibi (CCM), alisema Lema yuko katika wakati mgumu kisiasa na kauli aliyoitoa ni ya mfa maji ambaye anakaribia kufa hivyo hutapatapa akitafuta mtu wa kufa naye.
Akichangia taarifa za kamati hizo mbili, Lema alitumia fursa hiyo kuhoji kwa nini Ole Medeye aliyehudhuria kikao cha kuchochea ukabila asitajwe kama mtu mhalifu wa kwanza duniani.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninayo DVD ya Naibu Waziri wa Ardhi akiwa kwenye kikao cha ukabila wakati wa uchaguzi katika kampeni za udiwani Arusha Mjini na kutoa maazimio ya kuwapa wageni sumu na kuwapiga mishale na mikuki, alisema.
Alisema katika kikao hicho ambacho alidai Ole Medeye ndiye aliyekisimamia, pia kulitolewa maazimio ya kuhakikisha wageni hawauziwi mashamba.
Taarifa hizo nilipeleka polisi, pia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, OCD (Kamanda wa Polisi wa Wilaya) na John Mongela (Mkuu wa Wilaya wa Arusha), ambaye nilimwambia na alikiri amelisikia na analifanyia kazi suala hilo lakini mpaka leo hakuna lolote....
Naibu Waziri anakaa kwenye kikao na kuhamasisha ukabila kwa sababu tu chama chake kishinde uchaguzi. Mheshimiwa Mwenyekiti taifa hili litakwenda mahali pabaya sana.
Lema alisema wanaochochea siasa ya udini na ukabila siyo Waislamu na Wakristo walioko misikitini na kanisani, bali ni wanasiasa wanaotafuta nafasi za kuongoza kama alivyofanya Ole Medeye katika kampeni hizo.
Najua siku hizi zipo DvD za kutengeneza, kuna utaalamu wa kuzibaini kwa hiyo sina shaka yoyote, alisema Ole Medeye.
Medeye ambaye pia ni Mbunge wa Arumeru Magharibi (CCM), alisema Lema yuko katika wakati mgumu kisiasa na kauli aliyoitoa ni ya mfa maji ambaye anakaribia kufa hivyo hutapatapa akitafuta mtu wa kufa naye.
Akichangia taarifa za kamati hizo mbili, Lema alitumia fursa hiyo kuhoji kwa nini Ole Medeye aliyehudhuria kikao cha kuchochea ukabila asitajwe kama mtu mhalifu wa kwanza duniani.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninayo DVD ya Naibu Waziri wa Ardhi akiwa kwenye kikao cha ukabila wakati wa uchaguzi katika kampeni za udiwani Arusha Mjini na kutoa maazimio ya kuwapa wageni sumu na kuwapiga mishale na mikuki, alisema.
Alisema katika kikao hicho ambacho alidai Ole Medeye ndiye aliyekisimamia, pia kulitolewa maazimio ya kuhakikisha wageni hawauziwi mashamba.
Taarifa hizo nilipeleka polisi, pia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, OCD (Kamanda wa Polisi wa Wilaya) na John Mongela (Mkuu wa Wilaya wa Arusha), ambaye nilimwambia na alikiri amelisikia na analifanyia kazi suala hilo lakini mpaka leo hakuna lolote....
Naibu Waziri anakaa kwenye kikao na kuhamasisha ukabila kwa sababu tu chama chake kishinde uchaguzi. Mheshimiwa Mwenyekiti taifa hili litakwenda mahali pabaya sana.
Lema alisema wanaochochea siasa ya udini na ukabila siyo Waislamu na Wakristo walioko misikitini na kanisani, bali ni wanasiasa wanaotafuta nafasi za kuongoza kama alivyofanya Ole Medeye katika kampeni hizo.
MWANANCHI
Medeye ambaye pia ni Mbunge wa Arumeru Magharibi (CCM), alisema Lema yuko katika wakati mgumu kisiasa na kauli aliyoitoa ni ya mfa maji ambaye anakaribia kufa hivyo hutapatapa akitafuta mtu wa kufa naye.
Akichangia taarifa za kamati hizo mbili, Lema alitumia fursa hiyo kuhoji kwa nini Ole Medeye aliyehudhuria kikao cha kuchochea ukabila asitajwe kama mtu mhalifu wa kwanza duniani.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninayo DVD ya Naibu Waziri wa Ardhi akiwa kwenye kikao cha ukabila wakati wa uchaguzi katika kampeni za udiwani Arusha Mjini na kutoa maazimio ya kuwapa wageni sumu na kuwapiga mishale na mikuki, alisema.
Alisema katika kikao hicho ambacho alidai Ole Medeye ndiye aliyekisimamia, pia kulitolewa maazimio ya kuhakikisha wageni hawauziwi mashamba.
Taarifa hizo nilipeleka polisi, pia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, OCD (Kamanda wa Polisi wa Wilaya) na John Mongela (Mkuu wa Wilaya wa Arusha), ambaye nilimwambia na alikiri amelisikia na analifanyia kazi suala hilo lakini mpaka leo hakuna lolote....
Naibu Waziri anakaa kwenye kikao na kuhamasisha ukabila kwa sababu tu chama chake kishinde uchaguzi. Mheshimiwa Mwenyekiti taifa hili litakwenda mahali pabaya sana.
Lema alisema wanaochochea siasa ya udini na ukabila siyo Waislamu na Wakristo walioko misikitini na kanisani, bali ni wanasiasa wanaotafuta nafasi za kuongoza kama alivyofanya Ole Medeye katika kampeni hizo.
Najua siku hizi zipo DvD za kutengeneza, kuna utaalamu wa kuzibaini kwa hiyo sina shaka yoyote, alisema Ole Medeye.
Medeye ambaye pia ni Mbunge wa Arumeru Magharibi (CCM), alisema Lema yuko katika wakati mgumu kisiasa na kauli aliyoitoa ni ya mfa maji ambaye anakaribia kufa hivyo hutapatapa akitafuta mtu wa kufa naye.
Akichangia taarifa za kamati hizo mbili, Lema alitumia fursa hiyo kuhoji kwa nini Ole Medeye aliyehudhuria kikao cha kuchochea ukabila asitajwe kama mtu mhalifu wa kwanza duniani.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninayo DVD ya Naibu Waziri wa Ardhi akiwa kwenye kikao cha ukabila wakati wa uchaguzi katika kampeni za udiwani Arusha Mjini na kutoa maazimio ya kuwapa wageni sumu na kuwapiga mishale na mikuki, alisema.
Alisema katika kikao hicho ambacho alidai Ole Medeye ndiye aliyekisimamia, pia kulitolewa maazimio ya kuhakikisha wageni hawauziwi mashamba.
Taarifa hizo nilipeleka polisi, pia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, OCD (Kamanda wa Polisi wa Wilaya) na John Mongela (Mkuu wa Wilaya wa Arusha), ambaye nilimwambia na alikiri amelisikia na analifanyia kazi suala hilo lakini mpaka leo hakuna lolote....
Naibu Waziri anakaa kwenye kikao na kuhamasisha ukabila kwa sababu tu chama chake kishinde uchaguzi. Mheshimiwa Mwenyekiti taifa hili litakwenda mahali pabaya sana.
Lema alisema wanaochochea siasa ya udini na ukabila siyo Waislamu na Wakristo walioko misikitini na kanisani, bali ni wanasiasa wanaotafuta nafasi za kuongoza kama alivyofanya Ole Medeye katika kampeni hizo.
MWANANCHI