Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,719
Kwaiyo na nyie kesi itaisha kwa stahili iyo sio, kwa timu ya aina gani mliyonayo na kocha wa aina gani atakaewawezesha kuvuka kwa staili iyo? Ebu tuambie matokeo yenu ya mechi za ugenini ili tupate picha angalau ya kuwapa asilimia za kuvuka hatua inayofataMagoli mengi wala sio issue,Rivers utd walikuja hapa bongo wakawakanyaga Utopolo goli moja na kwao pia wakawakanyaga tena goli moja,kesi ikaisha.