Shangazi yangu alienda kutembea Uingereza akakutana na mtoto wa miaka 8 raia wa uko, mtoto akauliza nasikia Africa ni masikini sana?
Shangazi akajibu ndiyo,
Mtoto akauliza wewe unatoka taifa gani? Shangazi natokea Tanzania.
Mtoto akauliza mbona wewe unajua kiingereza? Shangazi akajibu nimesoma, mtoto akauliza kwahiyo uko unakotokea kunashule? Shangazi ndiyo zipo.
Mtoto akauliza na maji? Shangazi yapo.
Mtoto akauliza hospitali? Shangazi akajibu zipo.
Mtoto akauliza na usafiri? Shangazi akajibu upo.
Mtoto akaendelea kuuliza na umeme? Shangazi akajibu upo.
Mtoto akashangaa na kusema sasa ninyi ni masikini kivipi! Shangazi: sisi ni masikini tu!
Shangazi akajibu ndiyo,
Mtoto akauliza wewe unatoka taifa gani? Shangazi natokea Tanzania.
Mtoto akauliza mbona wewe unajua kiingereza? Shangazi akajibu nimesoma, mtoto akauliza kwahiyo uko unakotokea kunashule? Shangazi ndiyo zipo.
Mtoto akauliza na maji? Shangazi yapo.
Mtoto akauliza hospitali? Shangazi akajibu zipo.
Mtoto akauliza na usafiri? Shangazi akajibu upo.
Mtoto akaendelea kuuliza na umeme? Shangazi akajibu upo.
Mtoto akashangaa na kusema sasa ninyi ni masikini kivipi! Shangazi: sisi ni masikini tu!