Wanaobeza hatua ya chadema ya juzi, ya kutoka nje ya bunge ni bumbum wa siasa.

Byendangwero

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
871
56
Kuna baadhi ya watu wanao ibeza CDM kwa uamuzi wake wa juzi, wa kususia hatua za mwisho za mjadala wa kufanyia marekebisho kanuni inayotoa ufafanuzi wa ni nini maana ya kambi rasmi ya upinzani. Kwangu mimi kitendo hicho cha CDM ni ushahidi mwingine unao dhihilisha namna chama hicho kilivyokomaa kisiasa; maana kama kingeliendelea kukaa ndani ya bunge mpaka suala hilo likafikia hatma yake, kusingelikuwapo uhalali wowote wa chama hicho kuendelea kulipinga suala hilo, kwa vile nacho kingelihesabiwa kuwa sehemu ya uamuzi huo. Maadam wakati uamuzi huo unachukuliwa chenyewe hakikuwepo kina kila sababu ya kuendelea kupinga hatua hiyo.
 
Kuna baadhi ya watu wanao ibeza CDM kwa uamuzi wake wa juzi, wa kususia hatua za mwisho za mjadala wa kufanyia marekebisho kanuni inayotoa ufafanuzi wa ni nini maana ya kambi rasmi ya upinzani. Kwangu mimi kitendo hicho cha CDM ni ushahidi mwingine unao dhihilisha namna chama hicho kilivyokomaa kisiasa; maana kama kingeliendelea kukaa ndani ya bunge mpaka suala hilo likafikia hatma yake, kusingelikuwapo uhalali wowote wa chama hicho kuendelea kulipinga suala hilo, kwa vile nacho kingelihesabiwa kuwa sehemu ya uamuzi huo. Maadam wakati uamuzi huo unachukuliwa chenyewe hakikuwepo kina kila sababu ya kuendelea kupinga hatua hiyo.
Hiyo ni sawa kabisa Byendangwero, ila mimi nina swali; hawa CDM kutoka bungeni wakati kikao kinaendelea walivunja kanuni yoyote ya bunge. Je wanachukuliwa hatua gani???????????????
 
Hiyo ni sawa kabisa Byendangwero, ila mimi nina swali; hawa CDM kutoka bungeni wakati kikao kinaendelea walivunja kanuni yoyote ya bunge. Je wanachukuliwa hatua gani???????????????

hakuna kanuni yeyote ya bunge iliyovunjwa na hivyo no displinary action to be taken against the giant party/cdm.
 
Hiyo ni sawa kabisa Byendangwero, ila mimi nina swali; hawa CDM kutoka bungeni wakati kikao kinaendelea walivunja kanuni yoyote ya bunge. Je wanachukuliwa hatua gani???????????????
Hakuna kanuni yeyote iliyovunjwa; isipokuwa CDM ilitumia haki zake za kikatiba kuwasilisha ujumbe rasmi kuwa hawezi ikawa sehemu ya maamuzi ambayo msingi wake, ni kulinda maslahi ya watu fulani fulani, kwa gharama ya maslahi mapana zaidi ya umma.
 
Back
Top Bottom