Bw. Ufahamu
Member
- Apr 23, 2010
- 15
- 1
Kuna baadhi ya watu wanaoambukiza-ambukiza virusi vya ukimwi makusudi-cally. Je, Wana JF, sheria kwa sasa inasemaje. Kuna mama mmoja amefiwa na mmeo kwa hilo gonjwa hafu yeye anahama maeneo anayojulikana na kujichimbia asikofahamika hafu kazi yake ni kusambaza tu. Naomba ushauri ili niwatume vijana wampe ushauri na saa kama itakuwepo!
:angry:
:angry: