Kibwagizo
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 130
- 8
Obama aumbuka hakumuuwa Osama. 1.Asema kachero mmoja wa CIA. 2.Aliogopa kujitafutia umaarufu. Chanzo AN-NUUR gazeti la leo may 30. My take: Kama Osama alikufa zamani kwanini Al Qaed walifanya uchaguzi baada ya Obama kuidhihilishia dunia kwamba kamuuwa Osama. Pili baada ya hapo mbona Al qaed walitangaza kulipiza alafu AN-NUUR inasema alikufa kwa ugonjwa wa kawaida.