kamsi kilelo
Member
- Mar 27, 2017
- 78
- 146
Habari wana JF,
Ni jambo la kumshukuru mungu kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ameimarisha afya ya ndugu yetu Tundu Antipas Lisu kwa kiasi kikubwa nani matumaini yetu muda si mrefu atarejea katika shughuli zake za kila siku katika ubora.
Ndugu wa JF kutokana na uelekeo ambao gari lilishambuliwa inaonyesha ni upande wa kushoto mwa gari, swali linaloniumiza kichwa na hata kuomba ufafanuzi ni vipi imetokea mpaka ndugu yetu adhurike zaidi mguu wa kulia badala ya wakushoto?
Ni jambo la kumshukuru mungu kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ameimarisha afya ya ndugu yetu Tundu Antipas Lisu kwa kiasi kikubwa nani matumaini yetu muda si mrefu atarejea katika shughuli zake za kila siku katika ubora.
Ndugu wa JF kutokana na uelekeo ambao gari lilishambuliwa inaonyesha ni upande wa kushoto mwa gari, swali linaloniumiza kichwa na hata kuomba ufafanuzi ni vipi imetokea mpaka ndugu yetu adhurike zaidi mguu wa kulia badala ya wakushoto?