MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Jirani na rafiki yangu amenieleza kuwa yeye na mke wake wanapendana na huwa pia anampa support kwa mambo yote including ku support watoto. Yeye ni mwanaume mwajibikaji kwa watoto na mkewe. Wote wanafanya kazi nzuri. Tatizo lake kubwa ni katika suala la unyumba ambalo kwa muda mrefu limekuwa uwanja wa migogoro. Anasema miaka minne ya ndoa yao walifurahia sana unyumba ila kuanzia mwaka wa tano hadi leo haoni kabisa kama mkewe anapenda sex. Mkewe kuna wakati anasahau kabisa kama kuna kitu kinaitwa unyumba na anaweza hata akapitiliza muda mrefu bila kuonyesha dalili kama ana hamu na mumewe. Ikitokea kuna w/shops au field work kazini kwa wife ndio kabisa hali inakuwa ngumu kwani wife hupata uchovu kupindukia ingawaje kazi zake ni za ukaguzi tu wa kawaida na hutumia gari ya kazini. Mumewe amejitahidi kila wakiwa kwenye mchezo kuwa creative na kuhakikisha wife anafikia peaks lakini bado wife hajawahi fanya initiative hata ya ishara za kiwanawake kuonyesha kama anataka mwenziwe ampe raha.
Huyu jamaa anataka kupata uzoefu wa wanaume wengine je hii hali ni ya kawaida kwa wanawake wote au anaibiwa.
Huyu jamaa anataka kupata uzoefu wa wanaume wengine je hii hali ni ya kawaida kwa wanawake wote au anaibiwa.