Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Nimejaribu kuangalia baadhi ya wanandoa mbalimbali na kuona kuna mengi sana yanayotokea hivi sasa
naomba nieleweke sikutishi uoe ama kuolewa ila vyema kujua ndoa sio lelemama na unapoamua kuingia usitarajie msaada wa mamako ama babako unapoaribu kama mlivyokuwa bg
Ndugu zangu kuna mambo mengi yanatokea kwenye nyumba zetu laiti mwenyezi mungu angesema tukiwa tunajenga nyumba tuache upenyo kwenye kona zetu asingekuwa akioa mtu kwa jinsi kuta zinavyoficha siri zetu...ninayo mifano mingi tu wapo watu wanabebabna kwenye magari unapowaona salenda mataa wanakula kiyoyozi ukahisi wako peponi kumbe mmoja wao anatukana kisisiri huyu polisi vipi anatuchelewesha nikammwage huyu nianze zangu.....sitaki ufanye hivi nasema kwa kukuonya muwe makini sana na ndoa tunazofunga
Usifunge ndoa kwa ajili ya shangazi ama mjomba ama baba ama mama utalia..wengi wameingia kwenye sumu hii na kuishia kugawana pepo walizocchuma wakiwa duniani baada ya miaka kadhaa..mbaya zaidi hivi sasa unakuta babu na mvi zake ati anaenda mahakamani kuomba bibi ampe talaka laana ilioje...
So ni kweli ukiwa single unakuwa na furaha ya kujiamulia mambo na kufrahi kwenda unapotaka lakini ukifika kwenye ndoa ndugu ujue kuna serikali ya NDOA..na mawaziri makatibu manaibu na diwani pamoja na wabunge woote ni wewe na mkeo na majukumu yote mwaitaji kuyafanikisha pamoja ili msikae vikao vya kususluhishana kama RICHMOND...
Mwisho nawatakia heri na fanaka kubwaaaa kwa wapendwa wetu walioamua kufunga ndoa Kanisani/MSIKITINI/BOMANI na sehemu mbalimbali maana nimesikia mbeya huko kuna wachungaji wanawawafwata wanandoa nyumbani na kuozesha..si haba hali wamependana...nawatakia harufu njema ya amani upendo na mzidi kuongeza dunia kama wazazi wenu wasivyokuwa wachoyo kuwaleta nyie dunian leo hii mnafunga ndoa......
WASIMAMIZI
Tafadhali ukiwa unatarajia kusimamia ndoa ya mtu jumamosi ijayo ama ijumaa nk tafadhali tena kama si wanandoa jamani punguzeni ukaribu...sie wake zetu tunawaruhusu kwa kuwaheshimu wanandoa lakini naona hivi sasa mtu yuko mbele anapunga usemi na wake zetu kama baba na mama pinda pale baharini
Hili tusingependa litokee kama si mkeo lishaneni keki mshibe muondoke si mambo ya umependeza oohh unajua angechelewa walahi ningekuwa na wewe toka hapa ulikuwa wapi siku zote na nasema kama una tabia hii walahii utaishia kusimamia ndoa za watu mpaka mwisho na kuoa huoi..si hilo tu na nyi wamama mambo ya kupeana namba za simu mbele mkome..kumbukeni mko na wanaume zenu kwenye ukumbi
KILA LA KHERI
naomba nieleweke sikutishi uoe ama kuolewa ila vyema kujua ndoa sio lelemama na unapoamua kuingia usitarajie msaada wa mamako ama babako unapoaribu kama mlivyokuwa bg
Ndugu zangu kuna mambo mengi yanatokea kwenye nyumba zetu laiti mwenyezi mungu angesema tukiwa tunajenga nyumba tuache upenyo kwenye kona zetu asingekuwa akioa mtu kwa jinsi kuta zinavyoficha siri zetu...ninayo mifano mingi tu wapo watu wanabebabna kwenye magari unapowaona salenda mataa wanakula kiyoyozi ukahisi wako peponi kumbe mmoja wao anatukana kisisiri huyu polisi vipi anatuchelewesha nikammwage huyu nianze zangu.....sitaki ufanye hivi nasema kwa kukuonya muwe makini sana na ndoa tunazofunga
Usifunge ndoa kwa ajili ya shangazi ama mjomba ama baba ama mama utalia..wengi wameingia kwenye sumu hii na kuishia kugawana pepo walizocchuma wakiwa duniani baada ya miaka kadhaa..mbaya zaidi hivi sasa unakuta babu na mvi zake ati anaenda mahakamani kuomba bibi ampe talaka laana ilioje...
So ni kweli ukiwa single unakuwa na furaha ya kujiamulia mambo na kufrahi kwenda unapotaka lakini ukifika kwenye ndoa ndugu ujue kuna serikali ya NDOA..na mawaziri makatibu manaibu na diwani pamoja na wabunge woote ni wewe na mkeo na majukumu yote mwaitaji kuyafanikisha pamoja ili msikae vikao vya kususluhishana kama RICHMOND...
Mwisho nawatakia heri na fanaka kubwaaaa kwa wapendwa wetu walioamua kufunga ndoa Kanisani/MSIKITINI/BOMANI na sehemu mbalimbali maana nimesikia mbeya huko kuna wachungaji wanawawafwata wanandoa nyumbani na kuozesha..si haba hali wamependana...nawatakia harufu njema ya amani upendo na mzidi kuongeza dunia kama wazazi wenu wasivyokuwa wachoyo kuwaleta nyie dunian leo hii mnafunga ndoa......
WASIMAMIZI
Tafadhali ukiwa unatarajia kusimamia ndoa ya mtu jumamosi ijayo ama ijumaa nk tafadhali tena kama si wanandoa jamani punguzeni ukaribu...sie wake zetu tunawaruhusu kwa kuwaheshimu wanandoa lakini naona hivi sasa mtu yuko mbele anapunga usemi na wake zetu kama baba na mama pinda pale baharini
Hili tusingependa litokee kama si mkeo lishaneni keki mshibe muondoke si mambo ya umependeza oohh unajua angechelewa walahi ningekuwa na wewe toka hapa ulikuwa wapi siku zote na nasema kama una tabia hii walahii utaishia kusimamia ndoa za watu mpaka mwisho na kuoa huoi..si hilo tu na nyi wamama mambo ya kupeana namba za simu mbele mkome..kumbukeni mko na wanaume zenu kwenye ukumbi
KILA LA KHERI