IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Hawatumii kinga hivyo upelekea mimba za Mara kwa Mara., utafiti unaonyesha Tz katika wanandoa 100 ni1 tu hajawahi kutoa mimba.
Sababu kubwa za kutoa ni kutokuwa na lengo la kuzaa kwa mda huo.
Pia wengi wao uwa wanalea ni ngumu kupandanisha watoto, jitafakari ukweli unaujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu kubwa za kutoa ni kutokuwa na lengo la kuzaa kwa mda huo.
Pia wengi wao uwa wanalea ni ngumu kupandanisha watoto, jitafakari ukweli unaujua.
Sent using Jamii Forums mobile app