Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Ndugu wapendwa
kwa wanaotarajia kuoana siku ya jumamosi ni vyema mkaweka vyombo vyenu vya magari
kupunguza sababu za kutofika kanisani..mwisho na watakia mgao huu wa mafuta wa ngeleja
hope mtawahi kufika makanisan na kutimiza ahadi ya mungu
kila la kheri
kwa wanaotarajia kuoana siku ya jumamosi ni vyema mkaweka vyombo vyenu vya magari
kupunguza sababu za kutofika kanisani..mwisho na watakia mgao huu wa mafuta wa ngeleja
hope mtawahi kufika makanisan na kutimiza ahadi ya mungu
kila la kheri