Wanandoa wa jumamosi wekeni mafuta full tank gari husika

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,138
Ndugu wapendwa
kwa wanaotarajia kuoana siku ya jumamosi ni vyema mkaweka vyombo vyenu vya magari
kupunguza sababu za kutofika kanisani..mwisho na watakia mgao huu wa mafuta wa ngeleja
hope mtawahi kufika makanisan na kutimiza ahadi ya mungu
kila la kheri
 
Ndugu wapendwa
kwa wanaotarajia kuoana siku ya jumamosi ni vyema mkaweka vyombo vyenu vya magari
kupunguza sababu za kutofika kanisani..mwisho na watakia mgao huu wa mafuta wa ngeleja
hope mtawahi kufika makanisan na kutimiza ahadi ya mungu
kila la kheri
wamekusikia bika shaka.
 
Back
Top Bottom