Jaman mapenzi ya ngumi mkononi matam balaa!
Mke Wangu haipiti mwezi lazima Tundundane, tena inabidi nikaze kweli kweli kumchapa !
yeah; yaan kama hatujapigana lazima angalau tufinyaneeeeh tu;
Watu huwa wanafikilia tutaachana kwa vile ugomvi kwetu hauishi lakini kumbe walah tushazoea life style!
Na ugomvi ukiisha huwa umeisha huwa hatununiani, Tunaweza chapana makonde asubuhi halafu jioni tukatoka OUT;
Saingine hata hukohuko OUT zinapigwa tena, tunapatana tunarudi zetu nyumbani freshiiii!
Hivi majuzi alinizingua, akajitia umwamba kunikamata Pumb** nikamzibuaa manungu yakamtoka, hadi majilani wakaja, Akawachenjia, akawatimua yeye mwenyewe wasituamlie! Majilani wakajua tutaachana;
Baada ya siku tatu nilisafili kwenda Dodoma kikazi Haikupita wiki nikaanza kupokea simu za mashemeji na majilani anawasimulia kwamba kanimiss hadi chakula hali kwa mawazo,
Haikupita wiki naye akasema yuko njiani anakuja, eti kanimiss sana, hadi anafika Dodoma alikuwa kakamatwa Mara nne na traffiki njiani kwa overspeed.
Ninachompendea mke Wangu (road league) na changamoto za barabarani huwa anamaliza mwenyewe bila kunipigia simu, kuomba msaada!
Siku moja wife alichomekeana na daladala, yule Dreva akamtusi wife " We Malaya pisha hapo leseni zenyewe mmeletewa na Gari zenu za kuhongwa hizi mnakuja kujifunzia gari barabarani!"
Aisee, Wife alichomoa panga chini ya siti yake akamfuata yule dreva akamchoa huku kamkunja; Akamwambia nataka uniambie wewe aliyekwambia Gari tunatakiwa tujifunzie kitandani nani!! Yule Dreva alizibuliwa vitasa palepale! Wakashikana ubavu, aisee yule Dreva aliburuzwa mtaroni hadi polisi wakaja kuamulia nikaenda kumuwekea dhamana Central!
Kiufupi haya ndo maisha ya Mimi na mke wangu tunadundana sana Lakini mapenzi yetu ni matamu sana na hatujawahi fikilia kuachana na haitotokea ndoa na mwaka wa 13 sasa !!!
Hadi huwa nawashangaa sana watu wengine wanaoachana fasta wakati kutwa nzima huwa wanaitana switie Darling busy wanachat kila saa baby...baby.. lakini hawakawii kuachana!
Nini siri iliyopo kwenye penzi hili la kudundana halafu msiachane? Penzi lenu huko wenzangu likoje?
Tujuzane hapa wadau!!
Mke Wangu haipiti mwezi lazima Tundundane, tena inabidi nikaze kweli kweli kumchapa !
yeah; yaan kama hatujapigana lazima angalau tufinyaneeeeh tu;
Watu huwa wanafikilia tutaachana kwa vile ugomvi kwetu hauishi lakini kumbe walah tushazoea life style!
Na ugomvi ukiisha huwa umeisha huwa hatununiani, Tunaweza chapana makonde asubuhi halafu jioni tukatoka OUT;
Saingine hata hukohuko OUT zinapigwa tena, tunapatana tunarudi zetu nyumbani freshiiii!
Hivi majuzi alinizingua, akajitia umwamba kunikamata Pumb** nikamzibuaa manungu yakamtoka, hadi majilani wakaja, Akawachenjia, akawatimua yeye mwenyewe wasituamlie! Majilani wakajua tutaachana;
Baada ya siku tatu nilisafili kwenda Dodoma kikazi Haikupita wiki nikaanza kupokea simu za mashemeji na majilani anawasimulia kwamba kanimiss hadi chakula hali kwa mawazo,
Haikupita wiki naye akasema yuko njiani anakuja, eti kanimiss sana, hadi anafika Dodoma alikuwa kakamatwa Mara nne na traffiki njiani kwa overspeed.
Ninachompendea mke Wangu (road league) na changamoto za barabarani huwa anamaliza mwenyewe bila kunipigia simu, kuomba msaada!
Siku moja wife alichomekeana na daladala, yule Dreva akamtusi wife " We Malaya pisha hapo leseni zenyewe mmeletewa na Gari zenu za kuhongwa hizi mnakuja kujifunzia gari barabarani!"
Aisee, Wife alichomoa panga chini ya siti yake akamfuata yule dreva akamchoa huku kamkunja; Akamwambia nataka uniambie wewe aliyekwambia Gari tunatakiwa tujifunzie kitandani nani!! Yule Dreva alizibuliwa vitasa palepale! Wakashikana ubavu, aisee yule Dreva aliburuzwa mtaroni hadi polisi wakaja kuamulia nikaenda kumuwekea dhamana Central!
Kiufupi haya ndo maisha ya Mimi na mke wangu tunadundana sana Lakini mapenzi yetu ni matamu sana na hatujawahi fikilia kuachana na haitotokea ndoa na mwaka wa 13 sasa !!!
Hadi huwa nawashangaa sana watu wengine wanaoachana fasta wakati kutwa nzima huwa wanaitana switie Darling busy wanachat kila saa baby...baby.. lakini hawakawii kuachana!
Nini siri iliyopo kwenye penzi hili la kudundana halafu msiachane? Penzi lenu huko wenzangu likoje?
Tujuzane hapa wadau!!