Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,182
Hakuna watu wanafki kama watu walioingia kwenye NDOA na hata hawa wapambe. nasema ni wanafki zaidi ya walio nje ya ndoa...
Kama una hako kamsemo kakuwaambia watu au kuelezea kesi za watu huku ukiitaja hii sentensi hebu iache mara moja unajiaibisha.
“amelala/kafumaniwa na mchepuko tena kwenye kitanda cha mumewe /mkewe”.
Nataka tu niwaambieni wenye hizo sentensi mara nyingi huzitumia kwa
1/Kujiweka mtakatifu kinafki
2/Kupalilia moto ugomvi unoge
3/Kumvimbisha hasira mtendwa.
Nawauliza nyie wenye hizo kauli mmeshatafakali juu ya hiko kitanda mnachosemea tena cha mkewe / mumewe wa ndoa? nitawaelezea tu ili muache kuwa wajuaji kwa kuitumia hiyo sentensi kwa umwamvuli wa kukoleza ugomvi.
1/Unauhakika gani hiko kitanda wewe ndiye wa kwanza na wa mwisho kulazwa kubanjuliwa?
2/ Je, baada ya kubariki ndoa huwa mnabadirisha vitanda na kuwa vipya au tu mnaendeleza vya zamani? kama hukubadiri acha ujuaji kujifanya unapepelea hiyo sentensi?
Kitanda mlale na THUMA,SADA,MUDY,SIA, Uje ubariki ndoa na SIKITU wapambe waanze kupepelea hiyo sentensi.
Nitawauliza tu mnajua hiko kitanda mnachokiona kama mtetezi kililaliwa kwa ndoa ngapi kabla ya kubariki na mmoja wapo?
Hope jibu mnalo mkatafte vitanda vipya mpate kujitetea bhandugu?