Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,543
- 45,793
Kuna rafiki yangu mmoja yaani anapendana mnooo na mume wake yaani nadhani ile ndo ndoa pekee hapa nchini.
Mume sio Tajiri wala Hana kazi nzuri kiivo maisha Yao ya kawaida nyumba moja, Gari moja na mke sio mzuri hata shape sura kawaida saana yaani kama una mrate kwenye A to F ni D Au E yaani ila wanapendanaaa hadi wanapendana tena.
Changamoto Sasa looh wanazaa Hao. Napenda sana watoto ila maisha haya jamani Kuna mtu anazaa watoto sita??.
Kila siku Wana mimba yaani .Leo.nimemzoom Ana mimba tena nikashtuka .Kuna watu hawaogopiiii
Mume sio Tajiri wala Hana kazi nzuri kiivo maisha Yao ya kawaida nyumba moja, Gari moja na mke sio mzuri hata shape sura kawaida saana yaani kama una mrate kwenye A to F ni D Au E yaani ila wanapendanaaa hadi wanapendana tena.
Changamoto Sasa looh wanazaa Hao. Napenda sana watoto ila maisha haya jamani Kuna mtu anazaa watoto sita??.
Kila siku Wana mimba yaani .Leo.nimemzoom Ana mimba tena nikashtuka .Kuna watu hawaogopiiii