Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Eeehhh
hii ni kwa wanandoa tu wewe bado wala aikuhusu maana hata uyo unaetaka kumnyoa si wako bado wacha walioiiingia line watoe mawazo ya yanayowakuta la hasah kumbe jumatano basi na wewe waruhusiwa kutoa wazo
ni vyema wanandoa mkukakumbuka kunyoana sehemu nyeti ..kuna sehemu mbali mbali ambazo wanandoa tu ndio wanaweza faidi wenyewe kwa wenyewe si mbaya kumwacha mumeo kwapa limejaaa viroba vya nywele kama clemeeeentiii jamani ....na nyie wanaume angalieni wake zenu kila mara kwapa zao na sehemu nyeti mnazoonana wenyewe kwa wenyewe raha ya mvua mawingu bana sio msitu wa mande
msisubiri tufungue saloon za wanandoa muwe mnanyolewa ...tengenezeni vibubu weekeni kidogo kidogo mkanunue machine ila wakati huo nunuen topaz muwe mnanyoana
jamaniiiiiiiii clementineeeeeee ahsanete kwa tigo pesa
usiku mwema
hii ni kwa wanandoa tu wewe bado wala aikuhusu maana hata uyo unaetaka kumnyoa si wako bado wacha walioiiingia line watoe mawazo ya yanayowakuta la hasah kumbe jumatano basi na wewe waruhusiwa kutoa wazo
ni vyema wanandoa mkukakumbuka kunyoana sehemu nyeti ..kuna sehemu mbali mbali ambazo wanandoa tu ndio wanaweza faidi wenyewe kwa wenyewe si mbaya kumwacha mumeo kwapa limejaaa viroba vya nywele kama clemeeeentiii jamani ....na nyie wanaume angalieni wake zenu kila mara kwapa zao na sehemu nyeti mnazoonana wenyewe kwa wenyewe raha ya mvua mawingu bana sio msitu wa mande
msisubiri tufungue saloon za wanandoa muwe mnanyolewa ...tengenezeni vibubu weekeni kidogo kidogo mkanunue machine ila wakati huo nunuen topaz muwe mnanyoana
jamaniiiiiiiii clementineeeeeee ahsanete kwa tigo pesa
usiku mwema