Ndugu yangu,siku hizi sio lazima hakuwekee makufuli hivo,anaweza kuwa na simu ambayo hujawahi kumuona nayo tokea umuoe mwaka 1971.(tena huyu anakwambia kabisa "baby simu yangu ikiita pokea tu mi naenda Mlimani city.)Ukiona mwandani wako ametia kofuli la namna hii kwenye simu yake ujuwe kuna muamala anataka kufanya upo pending
loh password zishapitwa na wakati...........sasa hivi kuna simu za michepuko hiyo simu njia kuu haijui kamwe.Ndugu yangu,siku hizi sio lazima hakuwekee makufuli hivo,anaweza kuwa na simu ambayo hujawahi kumuona nayo tokea umuone mwaka 1971.(tena huyu anakwambia kabisa "baby simu yangu ikiita pokea tu mi naenda Mlimani city.)
Ndio namshangaa huyu,anavizia kuona amewekewa hivo ndio ajue anazunguukwa .... wakati kuna mademu wana simu hazijawahi kufika home.loh password zishapitwa na wakati...........sasa hivi kuna simu za michepuko hiyo simu njia kuu haijui kamwe.
nadhani bado hajajua..........anatakiwa kujua siku hizi kuna mbinu mpya na hata wanaume wanaitumia hiyo.Ndio namshangaa huyu,anavizia kuona amewekewa hivo ndio ajue anazunguukwa .... wakati kuna mademu wana simu hazijawahi kufika home.
Kwa sisi wanaume ndio usiseme kabisa,sisi ni zaidi ya shida.nadhani bado hajajua..........anatakiwa kujua siku hizi kuna mbinu mpya na hata wanaume wanaitumia hiyo.
loh password zishapitwa na wakati...........sasa hivi kuna simu za michepuko hiyo simu njia kuu haijui kamwe.
Watu wazoefu teh teh tehNdugu yangu,siku hizi sio lazima hakuwekee makufuli hivo,anaweza kuwa na simu ambayo hujawahi kumuona nayo tokea umuone mwaka 1971.(tena huyu anakwambia kabisa "baby simu yangu ikiita pokea tu mi naenda Mlimani city.)
zinaachwa ofisini.........wengine kwenye buti la gari......mchepuko unakuwa unajua kama uko married so lazma awe na discipline na mwelewa kuwa nazima simu kwa sasa mpaka kesho..........akiwa ofisini basi anachat na mchepuko bila wasiwasi.Hizo simu zinaachwa wapi, halafu hapa nazungumzia wanandoa, sio wachumba
hamna ni mambo ambayo yanaendelea.Watu wazoefu teh teh teh
Na hayo niliyosema yanafanywa na wanandoa si wachumba.Kuachwa wapi inategemea na shughuli ya mwenzako ni ipi,kama ni mama wa nyumbani huyo ndio shida kabisa,kwa kifupi hakuna kanuni ya kumzuia binadamu asikusaliti,ila ni kumuomba mungu tu.Hizo simu zinaachwa wapi, halafu hapa nazungumzia wanandoa, sio wachumba
zinaachwa ofisini.........wengine kwenye buti la gari......mchepuko unakuwa unajua kama uko married so lazma awe na discipline na mwelewa kuwa nazima simu kwa sasa mpaka kesho..........akiwa ofisini basi anachat na mchepuko bila wasiwasi.
maskini kumbe haujui...........pole .
Na hayo niliyosema yanafanywa na wanandoa si wachumba.Kuachwa wapi inategemea na shughuli ya mwenzako ni ipi,kama ni mama wa nyumbani huyo ndio shida kabisa,kwa kifupi hakuna kanuni ya kumzuia binadamu asikusaliti,ila ni kumuomba mungu tu.
zinaachwa ofisini.........wengine kwenye buti la gari......mchepuko unakuwa unajua kama uko married so lazma awe na discipline na mwelewa kuwa nazima simu kwa sasa mpaka kesho..........akiwa ofisini basi anachat na mchepuko bila wasiwasi.
maskini kumbe haujui...........pole.
Nimesikitika kwa kuliona hilo geni kwako.Unanisikitikia kwa lipi haswa, kwa mimi kutokujuwa mbinu hizi za wazinzi wewe utakuwa sio mzima kwa kweli mbona ni ukilaza hivyo, sio kila mtu ana hulka na umalaya,
Hahahaha sawa mkali wao, ila usinisikitikie kutojuwa kufanya dhambi, unajuwa yesu hapendi tutende dhambiNimesikitika kwa kuliona hilo geni kwako.
afu usipanic bwana............wiki ya xmass hii huna haja ya kuongea maneno mazito wakati Yesu karibia anazaliwa......cheerssssssss.