johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,524
Huyu ni mkuu wa wilaya wa pili kukatataliwa, alianza yule wa Musoma na leo ni huyu wa Kwimba, bado najiuliza hawa maDC wanaponzwa na nini hasa?....Yule wa Musoma alikataliwa na makada wenzake wa CCM kwa kushindwa kuwapa ushirikiano. Huyu wa Kwimba wananchi wamemkataa kwa tuhuma za kuwalimisha katika mashamba yake binafsi. Source ITV habari!