Wananchi wenzangu wameshaanza kumsifia Rais baada ya kutamka ni ruksa kumkosoa

shabani materu

New Member
Dec 23, 2020
1
0
Ni vizuri kwa anavyosifiwa sijakataa, ila ningependa kwa anaefahamu vizuri sheria inasemaje juu ya hili?

Isitokee akakosolewa alafu sheria ikaleta ukakasi kama tunavyowajua wakosoaji wapo na wanakosoa japo kwa kuogopa sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom