shabani materu
New Member
- Dec 23, 2020
- 1
- 0
Ni vizuri kwa anavyosifiwa sijakataa, ila ningependa kwa anaefahamu vizuri sheria inasemaje juu ya hili?
Isitokee akakosolewa alafu sheria ikaleta ukakasi kama tunavyowajua wakosoaji wapo na wanakosoa japo kwa kuogopa sana.
Isitokee akakosolewa alafu sheria ikaleta ukakasi kama tunavyowajua wakosoaji wapo na wanakosoa japo kwa kuogopa sana.