Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Katika matokeo ya Kipima Joto katika ITV usiku huu kuhusu mgomo wa madaktari ni kwamba asilimia 60 ya Watz walioulizwa wanasema jitihada zote za kutatua tatizo hilo zimeshindikana, hivyo hakuna tena haja ya kurudi mezani.
Kwa maana nyingine ni kwamba wananchi wengi wanaona madaktari sasa wana haki ya kugoma.
Ni asilimia 33 tu ndiyo wamesema bado pande mbili hizo ziendelee kuketi mezani.
My take:
\Wananchi wengi sasa wameanza kuiona serekali kwamba ni laghai tu, haina nia ya kutatua suala hilo ambalo linajirudia mara kwa mara hadi kumaliza patience ya madaktari.