kanta
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 343
- 65
Wadau, wananchi wanaoingia mgodini kwa ajili ya kuchukua mali yao wameanzisha vita na mgodi kwa kukataza wafanyakazi na magari ya mgodi kuonekana mtaani. Siku za hivi karibuni wamekuwa wakiingia kwenye mgodini kundi kubwa kama la watu 300 huku wakiwa na silaha, juzi mlinzi mmoja alipigwa panga la kichwa na watu hao na leo asubuhi magari ya mgodi yanayopeleka wafanyakzi mgodini ilibidi yabadilishe njia baada ya wananchi kuweka vizuizi kwenye barabara ya kuingilia mgodini.Ujumbe ambao umetolewa na uongozi wamgodi muda mfupi uliopita ni huu hapa chini;
"Due to an increase of illegal miners with high level aggression to both GGM and contractors we have received a threat that any vehicle with a flag seen in town will be burned. MD has requested security to stop vehicle access via Mike 1 to Geita Town until further notice.
We will inform you know when the situation has stabilized."
Thank you
"Due to an increase of illegal miners with high level aggression to both GGM and contractors we have received a threat that any vehicle with a flag seen in town will be burned. MD has requested security to stop vehicle access via Mike 1 to Geita Town until further notice.
We will inform you know when the situation has stabilized."
Thank you