jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,059
- 35,840
USHIRIKI WA WANANCHI WA KIBADA KWENYE MIKUTANO YA HADHARA HAURIDHISHI - MHE. NDUGULILE
"Nimesikitishwa na ushiriki wa wakazi wa Kibada katika mikutano wa hadhara. Mahudhurio yenu hayaridhishi. Taarifa imetolewa takribani wiki moja imepita, lakini ushiriki umekuwa hafifu, lakini kwenye mitandaoni watu wanasema sana, tunapoitana, hawatokei. Wanataka nitoe majibu kwa Whatsapp na mitandao ya jamii.
Lengo kuu tunapoitana kwenye vikao ni kupeana mrejesho nanyi kunipa kero zenu.
Kwa mahudhurio haya viongozi na wananchi wa Kibada mnapaswa kujitathmini."
Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni
MKUTANO WA HADHARA - KATA YA KIBADA
#KigamboniMpya
#KaziIendelee
#MaendeleoHayanaChama
"Nimesikitishwa na ushiriki wa wakazi wa Kibada katika mikutano wa hadhara. Mahudhurio yenu hayaridhishi. Taarifa imetolewa takribani wiki moja imepita, lakini ushiriki umekuwa hafifu, lakini kwenye mitandaoni watu wanasema sana, tunapoitana, hawatokei. Wanataka nitoe majibu kwa Whatsapp na mitandao ya jamii.
Lengo kuu tunapoitana kwenye vikao ni kupeana mrejesho nanyi kunipa kero zenu.
Kwa mahudhurio haya viongozi na wananchi wa Kibada mnapaswa kujitathmini."
Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni
MKUTANO WA HADHARA - KATA YA KIBADA
#KigamboniMpya
#KaziIendelee
#MaendeleoHayanaChama