Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,720
- 29,240
hiyo nguvu ya umma imezuia mipango gani ya serikali?Wanachi kwa umoja wao wanaweza.....
ama hujui maana ya nguvu ya umma
hiyo nguvu ya umma inayolalamika mitandaoni lakin hakuna anaejitokeza field kuonyesha msisitizo?
Hakuna nguvu ya umma inatoka kwa jamii ya waongo na wanafki.
ndio maana serikal inafanya wanavyotaka na hakuna wa kuigusa