ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Watu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa.
Je, hii inaonyesha ishara gan. Ni kwamba Mange anakubalika sana au?
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa.
Je, hii inaonyesha ishara gan. Ni kwamba Mange anakubalika sana au?